Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi Gari nyingi zake hazinaga 4WD,Naomba kujua ubora wa hizi gari kama kuna mtu ameshawai kuzitumia tafadhari hasa kwa barabara za vumbi.
Tafadhari=TafadhaliNaomba kujua ubora wa hizi gari kama kuna mtu ameshawai kuzitumia tafadhari hasa kwa barabara za vumbi.
Hii si kweli,gari kuwa na 4WD ni chaguo lako mnunuaji,mm ninayo na nina mwaka wa tano huu na ni 4WD, ubovu au uimara wa gari ni ww mtumiaji kuzingatia matumizi na kuifanyia service kwa wakati.Hizi Gari nyingi zake hazinaga 4WD,
Sasa unakua na Mgari Mkubwa lakini kwenye Mchanga au Tope unasanda
Umeelewa lakini nilichoandika??Hii si kweli,gari kuwa na 4WD ni chaguo lako mnunuaji,mm ninayo na nina mwaka wa tano huu na ni 4WD, ubovu au uimara wa gari ni ww mtumiaji kuzingatia matumizi na kuifanyia service kwa wakati.
Oil gani laki 2?Nasikia hizi gari ni imara ila ni za kitajiri sana. Oil yake tu bei mkasi balaa nasikia ni laki 2+, hapo bado gearbox oil majanga tupu
Nimeelewa ulichoandika na ndo maana nikakujibu si kweli kuhusu hizo gari unazosema nyingi si 4WD, kuhusu 4WD ni uchaguzi wako wakati unanunua hayo maelezo mengine ni kwa muuliza swali wa mwanzo, usipaniki.Umeelewa lakini nilichoandika??
Au umejibu tu mradi nawe uonekane umejibu??
Yaani umejibu kama vile mie nimepondea 4WD, maana umesema 4WD sio mbaya ndio maana unayo na haijakusumbua. Mie hakuna popote niliposema 4WD inasumbua ndio maana sijakuelewa.Nimeelewa ulichoandika na ndo maana nikakujibu si kweli kuhusu hizo gari unazosema nyingi si 4WD, kuhusu 4WD ni uchaguzi wako wakati unanunua hayo maelezo mengine ni kwa muuliza swali wa mwanzo, usipaniki.
Engine oil haubanwi na aina yoyote,unaweza tumia yoyote tu ila kwa gearbox ni lazima utumie nisani na kwa extrail kuna oil inaitwa Matic J ndo yake hiyo,inauzwa kwenye range ya 40,000 mpaka 45,000 kwa lita, zinaingia lita 4, ila unatembelea kuanzia km 60,000 mpaka 120,000 ndo unabadilisha.Nasikia hizi gari ni imara ila ni za kitajiri sana. Oil yake tu bei mkasi balaa nasikia ni laki 2+, hapo bado gearbox oil majanga tupu
Upo nchi gan we?Nasikia hizi gari ni imara ila ni za kitajiri sana. Oil yake tu bei mkasi balaa nasikia ni laki 2+, hapo bado gearbox oil majanga tupu
acha kuamini hear say...miliki kwanza ndiyo useme....nissan zote hazitaki ubabaishaji...ila oil zake sibghali kiasi hicho unachosema . .nissan ni gari nzuri sana endapo utafuata masharti yake na si kununua oil za kupima kama kwenye toyotaNasikia hizi gari ni imara ila ni za kitajiri sana. Oil yake tu bei mkasi balaa nasikia ni laki 2+, hapo bado gearbox oil majanga tupu
Kwa nini laki 2 engine oil tu???Nasikia hizi gari ni imara ila ni za kitajiri sana. Oil yake tu bei mkasi balaa nasikia ni laki 2+, hapo bado gearbox oil majanga tupu