Ubora wa kikosi Cha Simba

Ubora wa kikosi Cha Simba

Jack Daniel

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
2,912
Reaction score
12,904
Nikiwa nimetulia vyema siku ya Jana nikiangalia mpira nikiwa peke yangu.

Nimebaini timu ya Simba imesajili haswa,ni vitu vidogo tu ambavyo vimewafanya wakose ushindi.

1.Presha ya kucheza kwa kutaka kufuta uteja,hii imesababisha timu kukosa ile kujiamini Moja kwa moja.

2.beki ya Simba kupandisha mashambulizi na kujisahau,kumbuka shuti liliogonga mwamba dakika za mwanzoni Lililopigwa na Dube,hii ni kitendo cha Malone kufocus kwenda mbele tu

3.kucheza wakiwa na hofu ya redcard hivyo kukaba kiuoga,maana walikuwa wakimruhusu Pacome akokote mipira hili ni kosa kubwa walifanya ,na vile Pacome alivyomjanja kwa kuzisaka faulo ndiyo kabisa

Ni hayo tu kuhusu Yanga Kuna namna ilielemewa ni vile tu uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.

Ila Joshua Mutale,na Debra Fernandes ni watu na nusu timu za ligi kuu zijiandae
 
Uchambuzi mujarabu kabisa, ila kocha alisema ameshawaandaa wachezaji wake kisaikolojia kuwa ni mechi ya kawaida tu, ikaweje wakapanic tena?. Shukran za dhat ziende kwa waamuz, mngekimbiana hapa msimbazi
 
Mshukuruni refa jana zilitakiwa ziwe nne.Yaani refa na washika vibendera ndio waliofanya ujione unatimu,ila hauna ubora wowote.

Pili nimetizama mechi ya juzi na jana ,timu haina namba kumi ,so kocha msimu huu wakombozi wake ni Mutali na Kibu/Balua na watu wakikaba pembeni huna shughuli.Still bado kocha hata ule muunganiko bado, yaani ile fulani afanye nini/ajiposition wapi wakati timu ina mpira au hamna.
 
Nikiwa nimetulia vyema siku ya Jana nikiangalia mpira nikiwa peke yangu.

Nimebaini timu ya Simba imesajili haswa,ni vitu vidogo tu ambavyo vimewafanya wakose ushindi.

1.Presha ya kucheza kwa kutaka kufuta uteja,hii imesababisha timu kukosa ile kujiamini Moja kwa moja.

2.beki ya Simba kupandisha mashambulizi na kujisahau,kumbuka shuti liliogonga mwamba dakika za mwanzoni Lililopigwa na Dube,hii ni kitendo cha Malone kufocus kwenda mbele tu

3.kucheza wakiwa na hofu ya redcard hivyo kukaba kiuoga,maana walikuwa wakimruhusu Pacome akokote mipira hili ni kosa kubwa walifanya ,na vile Pacome alivyomjanja kwa kuzisaka faulo ndiyo kabisa

Ni hayo tu kuhusu Yanga Kuna namna ilielemewa ni vile tu uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.

Ila Joshua Mutale,na Debra Fernandes ni watu na nusu timu za ligi kuu zijiandae
umewahi kucheza mpira? Eti walikuwa wanamruhusu pacome akokote awezavyo😆😆😆😆
 
Sikubaliani na wewe unaposema timu ilikua na presha ukuta wa simba ni mwepesi sana na makosa yao ni yale yale ile mechi na APR haikuwa kipimo kizuri kwenu lakini mlipumbazwa mkafikiri mna timu APR hawakufanya naahambalizi yoyote ya maana dakika zote tisini sasa unaweza kupima uwezo timu katika kujilinda.
Pili Mutale ni mchezaji mzuri lakini akikutana na wachezaji wanaojua kukaba hawezi kuonekana kwakua yeye ana mpira wa kukimbia sasa ikitokea akanyimwa nafasi kama jana ufanisi wake unakua mdogo sana.
 
Nikiwa nimetulia vyema siku ya Jana nikiangalia mpira nikiwa peke yangu.

Nimebaini timu ya Simba imesajili haswa,ni vitu vidogo tu ambavyo vimewafanya wakose ushindi.

1.Presha ya kucheza kwa kutaka kufuta uteja,hii imesababisha timu kukosa ile kujiamini Moja kwa moja.

2.beki ya Simba kupandisha mashambulizi na kujisahau,kumbuka shuti liliogonga mwamba dakika za mwanzoni Lililopigwa na Dube,hii ni kitendo cha Malone kufocus kwenda mbele tu

3.kucheza wakiwa na hofu ya redcard hivyo kukaba kiuoga,maana walikuwa wakimruhusu Pacome akokote mipira hili ni kosa kubwa walifanya ,na vile Pacome alivyomjanja kwa kuzisaka faulo ndiyo kabisa

Ni hayo tu kuhusu Yanga Kuna namna ilielemewa ni vile tu uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.

Ila Joshua Mutale,na Debra Fernandes ni watu na nusu timu za ligi kuu zijiandae
Hamna cha uwoga wala hofu, ila bado hamna chemistry between wachezaji wapya. Wakiwlewana hawa watakuwa tishio wapewe muda
 
Back
Top Bottom