Ubora wa Mamelodi Sundown umepungua kwa asilimia kubwa

Ubora wa Mamelodi Sundown umepungua kwa asilimia kubwa

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
MAMELODI SUNDOWNS 🟡🔵 nimewatazama wakishinda 2-1 mbele ya Maniema Union ugenini leo, ukweli ni kwamba hawana tena ufanisi ule waliokuwa nao mwaka mmoja au miwili nyuma na hata ushindi wa leo basi washukuru uwepo wa Ronwen Williams langoni na mabadiliko ya haraka ya kuingia kwa Peter Shalulile aliyebadili matokeo mwishoni

Sundowns sioni tena ule ushawishi mkubwa waliokuwa nao kwenye aina yao ya uchezaji, ndani ya uwanja kuna mapungufu mengi mno na baadhi ya wachezaji ubora ni umeshuka sana! Miguel Cardoso kuna sehemu kama asipokuwa makini basi kuondoka pale haiwezi kuchukua muda mrefu hasa namna ya upangaji wa kikosi chake

Mchezo wa leo kama Maniema Union wangekuwa imara sana kwenye eneo la mwisho basi mechi ingeisha mapema mnoo, kuna attempts ambazo kama wangekuwa na watu wakatili mbele ya goli mechi wangemaliza mapema sana, Mamelodi washukuru mpinzani hakuwa bora sana eneo la mwisho

Simply! Msimu huu kama wanahitaji kuvuka Robo Fainali na kuendelea juu zaidi basi ni lazima wabadilike sana, kama haitokuwa hivyo basi ni ngumu sana kwao kusogea mbali zaidi kwa kutazama kiwango chao ndani ya Group Stage! Miguel Cardoso yupo ameingia kwenye wakati mgumu sana.

Let's Goo!!.
 
Ni kweli hawako vizuri kabisa sema wamekutana na team ambayo uzoefu wake na mtaji ni mdogo
Nashangaa aina ya uwekezaji wao kwa wachezaji wa Amerika ya kusini ambao naona mchango wao ni mdogo wakati wangeenda west na hela Yao au central afrika wangepata quality nzuri sana
Wanazidiwa na scout wa Singida
 
Ni kweli hawako vizuri kabisa sema wamekutana na team ambayo uzoefu wake na mtaji ni mdogo
Nashangaa aina ya uwekezaji wao kwa wachezaji wa Amerika ya kusini ambao naona mchango wao ni mdogo wakati wangeenda west na hela Yao au central afrika wangepata quality nzuri sana
Wanazidiwa na scout wa Singida
Singida iko vzr sanaaaaa..labda bahasha ziwatepeteshe ila kwa Simba na Yanga watatutoa jasho sana
 
Ni kweli hawako vizuri kabisa sema wamekutana na team ambayo uzoefu wake na mtaji ni mdogo
Nashangaa aina ya uwekezaji wao kwa wachezaji wa Amerika ya kusini ambao naona mchango wao ni mdogo wakati wangeenda west na hela Yao au central afrika wangepata quality nzuri sana
Wanazidiwa na scout wa Singida

wachezaji wa america ya kusini wapo too soft kucheza mpira wa Africa
 
MAMELODI SUNDOWNS 🟡🔵 nimewatazama wakishinda 2-1 mbele ya Maniema Union ugenini leo, ukweli ni kwamba hawana tena ufanisi ule waliokuwa nao mwaka mmoja au miwili nyuma na hata ushindi wa leo basi washukuru uwepo wa Ronwen Williams langoni na mabadiliko ya haraka ya kuingia kwa Peter Shalulile aliyebadili matokeo mwishoni

Sundowns sioni tena ule ushawishi mkubwa waliokuwa nao kwenye aina yao ya uchezaji, ndani ya uwanja kuna mapungufu mengi mno na baadhi ya wachezaji ubora ni umeshuka sana! Miguel Cardoso kuna sehemu kama asipokuwa makini basi kuondoka pale haiwezi kuchukua muda mrefu hasa namna ya upangaji wa kikosi chake

Mchezo wa leo kama Maniema Union wangekuwa imara sana kwenye eneo la mwisho basi mechi ingeisha mapema mnoo, kuna attempts ambazo kama wangekuwa na watu wakatili mbele ya goli mechi wangemaliza mapema sana, Mamelodi washukuru mpinzani hakuwa bora sana eneo la mwisho

Simply! Msimu huu kama wanahitaji kuvuka Robo Fainali na kuendelea juu zaidi basi ni lazima wabadilike sana, kama haitokuwa hivyo basi ni ngumu sana kwao kusogea mbali zaidi kwa kutazama kiwango chao ndani ya Group Stage! Miguel Cardoso yupo ameingia kwenye wakati mgumu sana.

Let's Goo!!.
Mamelod wanachokipitia ni sawa na yanga walichokipitia kushuka kwa ubora wa wachezaji wao but bado watarudi kwenye ubora wao baada ya muda Fulani,,class ya wachezaji wao bado Iko pale pale lakini form yao kwa sasa sio nzuri!
 
Back
Top Bottom