Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 765
- 490
Jamani mbao ya mtiki ni mbao yenye thamani kuliko mbao yoyote duniani hata uuzwaji wake nje inauzwa kwa futi na kiukweli watanzania wengi hatuna uwezo wa kutumia mtiki kama gharama yake ingejulikana ila walio wengi wanalima na kutopata soko linalostahili ndio maana inafananizwa na mninga na mkngo ukipanda ndege chunguze zile furniture za mule ndani ni mtiki kwenye meli angalia vizuri mbao zile ni mtiki hoteli za nyota 5 chunguza vizuri ni mtiki