Tshishimbi na uzee wake utamlinganisha na kanoute?Hahahaaa kweli watu mmeanza dharau sasa simba kweli leo hii wachezaji wake wanapitwa na ihefu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha nicheke tu
Beti sasa unacho hofia nini wakati Tshishimbi yupo?Simba hamna team ubishi sasa
Wapenzi wa mpira habari za muda huu, nipo hapa kupiga lamli chonganishi!t
Tukienda na mchezaji mmoja mmoja, Ihefu wana wachezaji wanaojua mpira kuliko vitoto vya Simba visivyo na akili.
Leo Tshishimbi atawatesa, Mahundi atawafunga.
Mjiandae kusema mnakamiwa.
Sasa toa huo mwiko akili ikujie...wazembe hawa utopolo,ushindi kidogo wanaona kama dunia Yao..eti Kwa mchezaji mmoja mmoja,hata ingekuwa kipande kipande hatulingani,ndio maana mwaka huu mnashiriki kombe la viti maalumu ambako huwa mnashika mkia..gongowaziWapenzi wa mpira habari za muda huu, nipo hapa kupiga lamli chonganishi!
Tukienda na mchezaji mmoja mmoja, Ihefu wana wachezaji wanaojua mpira kuliko vitoto vya Simba visivyo na akili.
Leo Tshishimbi atawatesa, Mahundi atawafunga.
Mjiandae kusema mnakamiwa.
Sio kila anaeiponda simba ni yanga think wise na utoe iyo mentality kichwaniSasa toa huo mwiko akili ikujie...wazembe hawa utopolo,ushindi kidogo wanaona kama dunia Yao..eti Kwa mchezaji mmoja mmoja,hata ingekuwa kipande kipande hatulingani,ndio maana mwaka huu mnashiriki kombe la viti maalumu ambako huwa mnashika mkia..gongowazi
Sio watu wote Wana cheza michezo ya kubahatisha, yeye ameandika maoni yake.Ata Mimi ningependa Ihefu apate matokeo na Kocha wa kuwapa matokeo wanaye ila Kwasasa Ihefu kupata matokeo Kwa Mkapa wanatakiwa wapambane kwelikweli na bahati iwe upande wao.Beti sasa unacho hofia nini wakati Tshishimbi yupo?
Tuweke wapi sasa?Tuweke mm na wewe iyo 50
Simba hashindi leo mkuu Mark my wordsKama Ihefu ni bora kuliko Simba, ilikuwaje Ihefu mpaka sasa awe mkiani mwa msimamo wa ligi na Simba awe juu yake maradufu?.
Hata kama Simba watacheza wachezaji 9 na Ihefu wawe 12 bado atachapika kama Mandonga pale Lupaso.
Tunza comment yangu hii, ukibisha bet 100000 umpe Ihefu uamke kapuku.
Maoni yake yamejikita kwenye wishfully thinkingSio watu wote Wana cheza michezo ya kubahatisja, yeye ameandika maoni yake.Ata Mimi ningependa Ihefu apate matokeo na Kocha wa kuwapa matokeo wanaye ila Kwasasa Ihefu kupata matokeo Kwa Mkapa wanatakiwa wapambane kwelikweli na bahati iwe upande wao.
Huyo jamaa kolo mwenzako. Mfuatilie weweSasa toa huo mwiko akili ikujie...wazembe hawa utopolo,ushindi kidogo wanaona kama dunia Yao..eti Kwa mchezaji mmoja mmoja,hata ingekuwa kipande kipande hatulingani,ndio maana mwaka huu mnashiriki kombe la viti maalumu ambako huwa mnashika mkia..gongowazi