Ubora wa mchezaji mmoja mmoja Ihefu inaweza mfunga Simba

Ubora wa mchezaji mmoja mmoja Ihefu inaweza mfunga Simba

Acha ramli naona unatafuta umaarufu kama wa Mandong kwa kuikandia Simba daily🙄😀😀😀kama Simba mbovu ww iache haikuhusu pambana na AzaM yako bora mkuu.
 
Acha ramli naona unatafuta umaarufu kama wa Mandong kwa kuikandia Simba daily🙄[emoji3][emoji3][emoji3]kama Simba mbovu ww iache haikuhusu pambana na AzaM yako bora mkuu.
Tunaenda ongoza league Leo AZAM
 
Acha ramli naona unatafuta umaarufu kama wa Mandong kwa kuikandia Simba daily🙄[emoji3][emoji3][emoji3]kama Simba mbovu ww iache haikuhusu pambana na AzaM yako bora mkuu.
Simba naihurumia sana ndiyo maana
 
Sio kila anaeiponda simba ni yanga think wise na utoe iyo mentality kichwani
Matope matupu!una mentality ww?kama huna cha kuwashirikisha great thinkers soma hata nyuzi za kujifunza kufikiri,sio mtu anaandika upuuz alafu aangaliwe
 
W
Kama Ihefu ni bora kuliko Simba, ilikuwaje Ihefu mpaka sasa awe mkiani mwa msimamo wa ligi na Simba awe juu yake maradufu?.

Hata kama Simba watacheza wachezaji 9 na Ihefu wawe 12 bado atachapika kama Mandonga pale Lupaso.

Tunza comment yangu hii, ukibisha bet 100000 umpe Ihefu uamke kapuku.
Ampe Double chance kabisa
 
Wapenzi wa mpira habari za muda huu, nipo hapa kupiga lamli chonganishi!

Tukienda na mchezaji mmoja mmoja, Ihefu wana wachezaji wanaojua mpira kuliko vitoto vya Simba visivyo na akili.


Leo Tshishimbi atawatesa, Mahundi atawafunga.

Mjiandae kusema mnakamiwa.
Sasa si uwaambie waingie mmoja mmoja au!!!!akili za utopolo ni finyu....kwa ajili ya kuvuka barabara tu
 
Uwezo wa team
Kwa hiyo team yako inauwezo?

Ona hapa
azamtvsports-20221112-0001.jpg


Mkatoka hapo mkaja hapa yani mnaenda mapumziko mkiwa na goli 3 plus clean sheet
azamtvsports-20221112-0002.jpg


Hili lilikuwa ni teke la mwisho la punda anayekatlribia kukata roho
azamtvsports-20221112-0003.jpg


Kilichotokea sasa baada ya pumzi kukata
azamtvsports-20221112-0004.jpg
 
Matope matupu!una mentality ww?kama huna cha kuwashirikisha great thinkers soma hata nyuzi za kujifunza kufikiri,sio mtu anaandika upuuz alafu aangaliwe
Jipige dole then ujinuse great thinker
 
Back
Top Bottom