Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Huwezi kuelewaUifungue genk afu uwe shujaa wa taifa la Tanzanua,chaa!
The whole social media network was upbeat and proud
Leo mnawanga wanga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuelewaUifungue genk afu uwe shujaa wa taifa la Tanzanua,chaa!
Poa Betty MkwassaSawa Shafii Dauda,ila kumbuka kuna kusifiwa na kukosolewa kama hukubali kwenye maisha yako kukosolewa basi ningumu kufanikiwa.
Endelea kutetea ndugu Shafi ili ukienda Belgium upate accommodation, maana unapenda ganda la ndiziPoa Betty Mkwassa
Soma.title ya thread utaelewa
Anapokuwa Timu ya Taifa huwa naangalia uzuri wa Samatta ambao natarajia kuuona, siuoni. Sikumbuki ni lini amewahi kutuokoa kwenye hali tete zaidi ya kufunga magoli rahisi na ya kawaida.
Tena bora hata siku za nyuma kuna kitu alikua anajarbu kufanya. Siku zinavyozidi kwenda namuona amekua mzuri kwenye kujieleza kabla na baada ya mechi kuliko uwanjani. Nimjuavyo Samata km akiamua kujituma kupata penalti, kila mechi au faulo za kutosha inawezekana. Cha msingi aache kucheza kifazafaza.
Tunashambuliwa sana kwa sababu timu yetu haina hatari sehemu ya mbele, watu wanaona hatuna madhara hivyo wanaamua kuja.
Mbwana inabidi ajitafakari kama anataka kuwa Legend wa nchi hii kwa kizazi cha sasa, la sivyo watabaki kuwa akina Erasto,Yondani na Kaseja.
CrappEndelea kutetea ndugu Shafi ili ukienda Belgium upate accommodation, maana unapenda ganda la ndizi
No need to apply Crapp test..........Crapp
Wewe acha upoyoyo anayejuwa thamani ya samata ni live pool na genk, Kama vp wapeleke kina kaseja wakacheze pale hamfildAnapokuwa Timu ya Taifa huwa naangalia uzuri wa Samatta ambao natarajia kuuona, siuoni. Sikumbuki ni lini amewahi kutuokoa kwenye hali tete zaidi ya kufunga magoli rahisi na ya kawaida.
Tena bora hata siku za nyuma kuna kitu alikua anajarbu kufanya. Siku zinavyozidi kwenda namuona amekua mzuri kwenye kujieleza kabla na baada ya mechi kuliko uwanjani. Nimjuavyo Samata km akiamua kujituma kupata penalti, kila mechi au faulo za kutosha inawezekana. Cha msingi aache kucheza kifazafaza.
Tunashambuliwa sana kwa sababu timu yetu haina hatari sehemu ya mbele, watu wanaona hatuna madhara hivyo wanaamua kuja.
Mbwana inabidi ajitafakari kama anataka kuwa Legend wa nchi hii kwa kizazi cha sasa, la sivyo watabaki kuwa akina Erasto,Yondani na Kaseja.
Sikuwa mmoja waoHuwezi kuelewa
The whole social media network was upbeat and proud
Leo mnawanga wanga tu
Basi tuliaSikuwa mmoja wao
Anacheza UEFA.Ukubwa wake nini?
Endelea kutetea ndugu Shafi ili ukienda Belgium upate accommodation, maana unapenda ganda la ndizi
Tulia ww na samata wakoBasi tulia