Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Wewe aziza ndo unalizungusha hivyo! Naomba niliguse hata kidogo tu, na roho yangu itapona.Mkishinda simba leo niite Aziza mtamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe aziza ndo unalizungusha hivyo! Naomba niliguse hata kidogo tu, na roho yangu itapona.Mkishinda simba leo niite Aziza mtamu
Hebu rudia tena huu Utopolo wakoHabari za mda huu wanamichezo
Kwa ninachokiona leo, Simba anaenda kupata aibu kwa Mkaba na huenda kocha akarudi tena Brazil
Naisubiri Battle ya Kagoma vs Kanoute. Ni kichekesho kagoma anaujua sana
Bruno Gomes ni sawa na Chama watatu. Sijasemea beki kitasa Abdulimajid Mangalo
Kazadi najua atatupa tu kwa ujinga wa Manura
Saa 1 ifike Sawadogo aumbuke
Wanapenda mambo ya ukabwili hawa watu wa yangaHivi mbona mnapenda majina ya kike?Mnaficha nini?Manara alisema aitwe Ashura Cheupe,Ali Kamwe nae alidai aitwe Ashura,Saido akifikisha magoli matano?
Mna biashara gani nyie?