Leo sina mengi nawakumbusha ya kwamba ubora wa Taifa lolote lile hutegemea sana na ubora wa mawazo ya watu wanaounda Taifa hilo pamoja na nidhamu ya watu wao. Kwa kuwa mtu ni mawazo anayofikiri na jamii pia huundwa na mawazo basi kama jamii yetu sio bora tuangalie upya mawazo yetu.
Ni ukweli usiopingika ubora wa taifa utokana na mawazo ya jamii katika muda, tatizo ni nani anahusika na responsibility kwa sasa ndani ya Tanzania. The primary influencer yaani wazazi wengi bado wana rely na tradition socialization huko vijijini to input thoughts kwa vizazi vijavyo.
Mara tu waanzapo shule vijana wa leo na kuchanganyika na vijana wa kutoka sehemu zengine ambao wana-different background they find themselves needing to adjust their thought to have common ground with their fellow student.
Inturn their earlier primary socialization processes begin to be challenged with many other ideologies that exist and they have to pick and choose what should guide them in the next phase of adulthood, the choices they encounter are religious ones ambayo imezalisha udini, lifestyles (choices) which are highly influential with orgins of foreigns propaganda mfano (tabia ya watu kujiona ma-celebrity or aspire to be considered one) whilst adapting the lifestyles of other cultures and thinking largely (hili uonekane wa juu) and also our mainstream medias and their thirst for gossips, lies and moral corruption reporting also exacerbate in the dilution of our moral at the same time corrupting the minds and its thinking procedures (valuable information to feed the minds reasoning).
With all the ideologies that exist minus the government intervention through nationalism propaganda at schools levels and on national medias, Tanzanians are largely confused of their belonging and their identification as a whole matokeo yake udini, ushamba (OK mimi binafsi Im not all that lakini mungu wangu kuna watu ninaowajua vizuri kabisa picha wanazotaka kuzitoa kwa watu azilingani kabisa na uwezo wao kibaya zaidi when these people believes on their own hype). And this is a serious national problem hata ukiingia jukwa la siasa utaona dharau watu wanazotupiana kutokana na lifestyles zao au social positions they hold, we have a big problem here because many minds aspire for unrealistic or goals of attaining those status at any cost (wake wa wazungu, emphasis ya kuonekana unajua kizungu, tabia za kuchagua watu wakuongea nao, etc) as this is one way one earns social respect.
Dhana ya kujitambulisha kuwa mimi ni mtanzania kwanza inapotea ndani ya tanzania, madhara yake undugu mshikamano
nao unapotea (Chadema have little to be blamed with their tactics) na serikali ya CCM for the remainder kwa kupuuzia sanaa za nyumbani na kuja na sera mbadala za propaganda ya utanzania hili watu waweze kufikiria kitaifa sio tu baina ya majirani bali hata walinzi wa mariasili waweke utaifa mbele.
Ndipo hapo napomuona JKN alikuwa a genius of his time he managed to build a strong nation waliofuatia ilikuwa kuendeleza utanzania ambao tayari ulikuwa umeshawekewa strong foundation, wao sanasana wajikite kwenye maendeleo ya kiuchumi na kuendeleza propaganda zilizoachwa.
Sasa hata makashimakashi ya mbio za mwenge unawashinda na kuelezea the symbolism of such a patriotism festival wakati naambiwa huko vijijini mwenge ukupita ilikuwa ni kama national day (JKN huyo huyo nchi akaenda kumuachia kilaza this is where i dont understand him) leo ndio tunachovuna amna mawazo ya pamoja zaidi ya ki-maslahi (hiwe kisiasa, maendeleo ya tmu, iujirani mwema let alone utanzania).
That is just the social aspect of thinking sasa ukitaka kuongelea dhana nzima ya maendeleo ni maelezo mengi. Maana hili hivyo vitu vije lazima taifa liwe na watu wenye akili (enough investment is needed) thereafter every thing gets political with policies and government investment, many of us can not influence those changes, well unless you speak directly to Mr President and on regular bases you might be able to influence on those changes by advising him on how to shape the mindset (a lot of money is needed though).