Ubora wa vyuo

Ubora wa vyuo

ni changamoto kwa nchi yetu,kwani vingi havina viwango vinavyohitajika bali vinaongeza idadi tu!
 
Ebu vitaje hvo vinavokubalika na visivokubalika.
 
chuo cha urekebishaji isanga, karanga ,butimba na ukonga hivi naona ni vyuo bomba
 
Nchi yetu inashindwa kuboresha vyuo vyote kuwa na kiwango sana.... Mfano vyuo kama kampala university ambacho hadi masters degree yake imefungwa
 
Back
Top Bottom