mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,267
- 4,634
Kiukweli timu yetu ya Yanga ,timu ya wananchi,mabingwa kihistoria wa Tanzania.mwaka huu tangia msimu huu wa 2019/2020 umeanza timu yetu bado haijapata muunganiko unaotakiwa.
Kocha mwinyi Zahera nae amekuwa mstari wa mbele tusema ukweli kwamba timu bado haijapata muungano.kila mtu anaona hatuna haja ya kujisifu kama mikia kuwa tuna timu bora kisha tunafungwa na UDSongo na kutupwa kabisa kwa aibu katika uwanja wa nyumbani.
Kwa kutambua hilo,kocha Mwinyi Zahera anatumia akili nyingi kuifanya Yanga iwin hizi mechi kwa kutumia mbinu za kupata ushindi au Droo kwa namna yoyote.Katika mechi na Township rollers alitumia mbinu hii katika mechi zote.alitaka aidha ashinde au adroo.pia katika mechi ya leo ametaka aidha adroo au ashinde.Kilichoiua simba ni kutaka droo ugenini(kuzuia wasifungwe nyingi kama ilivyo kawaida yao)ili wakija kwa mkapa washinde nyingi wasijue kuwa UD songo walitumia mbinu kama ya Zahera to win or droo.
Mpaka sasa nina imani na Yanga kuwa inaweza kusong mbele kwa kwenda aidha kushinda au kudroo pale Ndola.
Yanga ingekuwa chini ya Zahera msimu wa 2017/2018 katika kombe la shirikisho ikiwa na kundi rahisi kabisa la timu za Gormahia, timu ya Rwanda nimesahau jina na timu fulani ivi ya ivory coast.Kundi jepesi kabisa.Lakin Yanga ilikuwa katika ukata mkubwa wa pesa.Kocha Hans van plujim alishindwa kabisa.Hatimaye hatukuvuka .Ila kwa kundi lile kwa kweli Yanga na Gormahia zingevuka kama Kocha angekuwa Zahera kwa kweli pale tulipoteza bahati.
Naiombea Yanga ishinde ama la hata kuingia hatua ya makundi ya shirikisho itapendeza zaidi.kama Yanga na Azam zikiingia makundi na Yanga bado point zitaongezeka na nafasi 4 zitaendelea kubaki baada ya mikia na KMC kung'oka.
Hofu yangu ni kuwa simba mwakani atashiriki Champion League na atatolewa tena hatua za awali am akijitahidi ni kwenda shirikisho.
Kocha mwinyi Zahera nae amekuwa mstari wa mbele tusema ukweli kwamba timu bado haijapata muungano.kila mtu anaona hatuna haja ya kujisifu kama mikia kuwa tuna timu bora kisha tunafungwa na UDSongo na kutupwa kabisa kwa aibu katika uwanja wa nyumbani.
Kwa kutambua hilo,kocha Mwinyi Zahera anatumia akili nyingi kuifanya Yanga iwin hizi mechi kwa kutumia mbinu za kupata ushindi au Droo kwa namna yoyote.Katika mechi na Township rollers alitumia mbinu hii katika mechi zote.alitaka aidha ashinde au adroo.pia katika mechi ya leo ametaka aidha adroo au ashinde.Kilichoiua simba ni kutaka droo ugenini(kuzuia wasifungwe nyingi kama ilivyo kawaida yao)ili wakija kwa mkapa washinde nyingi wasijue kuwa UD songo walitumia mbinu kama ya Zahera to win or droo.
Mpaka sasa nina imani na Yanga kuwa inaweza kusong mbele kwa kwenda aidha kushinda au kudroo pale Ndola.
Yanga ingekuwa chini ya Zahera msimu wa 2017/2018 katika kombe la shirikisho ikiwa na kundi rahisi kabisa la timu za Gormahia, timu ya Rwanda nimesahau jina na timu fulani ivi ya ivory coast.Kundi jepesi kabisa.Lakin Yanga ilikuwa katika ukata mkubwa wa pesa.Kocha Hans van plujim alishindwa kabisa.Hatimaye hatukuvuka .Ila kwa kundi lile kwa kweli Yanga na Gormahia zingevuka kama Kocha angekuwa Zahera kwa kweli pale tulipoteza bahati.
Naiombea Yanga ishinde ama la hata kuingia hatua ya makundi ya shirikisho itapendeza zaidi.kama Yanga na Azam zikiingia makundi na Yanga bado point zitaongezeka na nafasi 4 zitaendelea kubaki baada ya mikia na KMC kung'oka.
Hofu yangu ni kuwa simba mwakani atashiriki Champion League na atatolewa tena hatua za awali am akijitahidi ni kwenda shirikisho.