Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inaendelea na lengo lake la kuimarisha sekta ya elimu ujenzi wa madarasa 8000 ya secondary unaendelea.
Lengo la ujenzi wa madarasa haya ni ifikapo 2023 wanafunzi wote wa kidato cha kwanza waweze kuanza masomo kwa wakati mmoja bila kuwepo kwa second selection, Idadi ya wananfunzi waatakaojiunga na kidato cha kwanza ni wanafunzi zaidi ya Milioni 1 ndio maana serikali inaboresha mazingira ya kusomea.
Lakini pia ikumbukwe wanafunzi watasoma katika mazingira bora huku wakipata elimu bila malipo na walimu wa kutosha Rais Samia Suluhu anaendelea kutimiza lengo lake la kujenga Tanzania ya wasomi.
Lengo la ujenzi wa madarasa haya ni ifikapo 2023 wanafunzi wote wa kidato cha kwanza waweze kuanza masomo kwa wakati mmoja bila kuwepo kwa second selection, Idadi ya wananfunzi waatakaojiunga na kidato cha kwanza ni wanafunzi zaidi ya Milioni 1 ndio maana serikali inaboresha mazingira ya kusomea.
Lakini pia ikumbukwe wanafunzi watasoma katika mazingira bora huku wakipata elimu bila malipo na walimu wa kutosha Rais Samia Suluhu anaendelea kutimiza lengo lake la kujenga Tanzania ya wasomi.