Mi sidhani kama wanaume wanakuogopa ila kwa jinsi unavyojiweka ndo tatizo, either unavaa kibibi bibi, na wanaume wengi hawapendi kibibi, najua unakuwa unaona unavaa nguo za heshima bali pia unavaa kibibi.
- Jaribu kuishi maisha ya kawaida na si ya kisomi ili uwe sawa nao
- Always tabasamu usiwe kila kitu serious hapana usikute ulishapendwaga mda mrefuu sema tuu umepishana na gari la pesa
- Punguza kuchagua watu Wenye hazi zako tuu ndo uwe nao kwa kuogopa wale makapuku eti wanakuja si kwa mapenzi bali kutaka mali zako
_ Unapoelekea utakuja ku-adopt Mtoto ili tu uwe na Mtoto au utamlipa mwanaume ili akuzalie Mtoto
*U still have a time to back up ur brain and change ur perception about gentleman [emoji12] [emoji12]