Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Ili mwanamuke aolewe anatakiwa awe na hizi sifa Jitathimini kama unazo 1.Age,2.beauty,3.Character,4.Domination,5,Education,6.Family BackGround,7.Generosity,8.Intelligence, 9.Health,10.Jealous unaweza ukaniuliza swali kama hutazielewa 0766940499
Mkuu unawaza ki 3D
 
Jali maisha unayotengeneza kwa kizazi chako mwanao sio lazim azaliwe ndani ya ndoa kikubwa katoka katika tumbo halisi la kwako mwenyewe inaweza kua msaada sana kwako kwani always kua na mtoto pia ni heshima kubwa unavimba hata mbele ya wenzako atakae kuja baada ya mtot inabidi aheshimu mamraka aliyoyakuta ikiwemo kumtunza mtoto wako kama mwanae wakumzaa hayo ndo maisha yenyewe
 
Wewe na Mh. Samia nani mwenye cheo kikubwa?
Alianza kuolewa akiwa hana cheo kikubwa, hata wanaume anaweza oa mke akiwa na degree 1 lakini akiwa ktk ndoa akajiendeleza mpka PhD watu wakaulizana mtu mwenye elimu kubwa kaoa vipi mke mwenye form 4 fail?
 
Sexless,
Upo jf unaangaika kitu gani tangaza NAFASI ya kumtafuta mume wa ndoa tupo wengi tutajitokeza ushindwe wewe tu kuchagua. I will be the first one to ask for, PM
 
Aisee mbona kama vile wakati wangu umefika. Digidigi anapita mbele yangu kabisa kabisa!
 
[emoji736] [emoji736] [emoji736] [emoji736] [emoji736]
 
Huenda tatizo utakua umelijua kwa comments hizo nyingi (Mstaarabu92@yahoo.com ) niandikie private email unitumie hapo tutashauliana zaidi.
 
Miaka 33 ni age ambayo inafaa usitaafu kuzaa inakuwaje hata ndoa huna?
 
unanukka mdomo ndo maana wanaume hawapend kukaa karibu na ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…