BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,738
- 3,199
TARURA, TANROAD, LATRA, MKUU wa MKOA DSM.
Barabara ya Banana Mpaka kitunda Mwanagati,ni kero nzito kwetu,Wakina Mama waja wazito, Watoto wa Shule,wafanyabiashara na wakazi kwa ujumla.
Kuna km 1 ya Rami imeharibika,ipo kiwango Cha kokoto Sasa zaidi ya miaka mitatu, eneo Makaburini mpaka kitunda Polisi.
Pia Eneo la Mwanagati ambako mabasi hayaji kwaajiri ya dimbwi moja kubwa la maji ambalo lipo zaidi ya miaka nane!
Basi hafiki japo zina leseni za kutoka Mnazi mmoja,Machinga kuja Mwanagati zinaishia kitunda.
Hili tatizo limepandisha Gharama zetu za maisha bila sababu, Please tugawane Keki ya Taifa kwa HAKI na USAWA
Barabara ya Banana Mpaka kitunda Mwanagati,ni kero nzito kwetu,Wakina Mama waja wazito, Watoto wa Shule,wafanyabiashara na wakazi kwa ujumla.
Kuna km 1 ya Rami imeharibika,ipo kiwango Cha kokoto Sasa zaidi ya miaka mitatu, eneo Makaburini mpaka kitunda Polisi.
Pia Eneo la Mwanagati ambako mabasi hayaji kwaajiri ya dimbwi moja kubwa la maji ambalo lipo zaidi ya miaka nane!
Basi hafiki japo zina leseni za kutoka Mnazi mmoja,Machinga kuja Mwanagati zinaishia kitunda.
Hili tatizo limepandisha Gharama zetu za maisha bila sababu, Please tugawane Keki ya Taifa kwa HAKI na USAWA