A
Anonymous
Guest
Ubovu wa Barabara kutoka Mbande kwenda Msongola imekuwa ni kama kitega uchumi.
Ni Barabara ambayo haijengwi Bali huchongwa tu kwa greda tu kwa muda Kisha huaribika tena na kurudiwa kuchongwa mfano kipindi hiki cha masika wamechonga kabla mvua hazijaisha imechongwa tena na tayari imeshaharibika yani kwa mwaka huchongwa Mara Tatu au Mara nne.
Mamlaka hawaoni kuwa hii ni biashara na upotevu wa pesa za mlipa kodi kwakuwa Hakuna kampuni inayofanya kazi Bure!