Ubovu wa kitengo cha huduma kwa wateja MWALIMU COMMERCIAL BANK.

Ubovu wa kitengo cha huduma kwa wateja MWALIMU COMMERCIAL BANK.

Amaizing Mimi

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2019
Posts
489
Reaction score
1,102
Napenda kutoa malalamiko yangu kwa bank ya MCB.Hii bank kitengo chao cha huduma kwa wateja hakina msaada wowote kwa sababu baadhi ya namba hazipatikani na namba inayopatikana simu haipokelewi.Ni muda wa wiki moja sasa kila nikijaribu kuwapigia simu haipokelewi kwa zaidi ya saa moja.Hata makampuni ya simu za mikinoni ambayo yana wateja wengi lakini huwezi kusubiri saa zima bila simu kupokelewa.Nawashauri wabadilishe mfumo wao wa huduma kwa wateja kwa sabau mfumo wao wa sasa ni kero kubwa.
 
Napenda kutoa malalamiko yangu kwa bank ya MCB.Hii bank kitengo chao cha huduma kwa wateja hakina msaada wowote kwa sababu baadhi ya namba hazipatikani na namba inayopatikana simu haipokelewi.Ni muda wa wiki moja sasa kila nikijaribu kuwapigia simu haipokelewi kwa zaidi ya saa moja.Hata makampuni ya simu za mikinoni ambayo yana wateja wengi lakini huwezi kusubiri saa zima bila simu kupokelewa.Nawashauri wabadilishe mfumo wao wa huduma kwa wateja kwa sabau mfumo wao wa sasa ni kero kubwa.
Ulijiunga vipi bak za kitapeli hizo?
 
Napenda kutoa malalamiko yangu kwa bank ya MCB.Hii bank kitengo chao cha huduma kwa wateja hakina msaada wowote kwa sababu baadhi ya namba hazipatikani na namba inayopatikana simu haipokelewi.Ni muda wa wiki moja sasa kila nikijaribu kuwapigia simu haipokelewi kwa zaidi ya saa moja.Hata makampuni ya simu za mikinoni ambayo yana wateja wengi lakini huwezi kusubiri saa zima bila simu kupokelewa.Nawashauri wabadilishe mfumo wao wa huduma kwa wateja kwa sabau mfumo wao wa sasa ni kero kubwa.
Lakini marehemu alichana live kuwa hapo ni HAKUNA kitu. "Mtanikumbuka Tena ni kwa MEMA . Alamsiki.
 
Back
Top Bottom