msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,888
Inamaana ukiona kitu kibaya usiseme kisa mwenye product atakasirika? Atajirekebishaje sasa??? Mo vinywaji vyake vingi anaiga azam hlf vibaaaayaa...Tuanze na ww umebuni nn kizuri apo ulipo na kikajulikana
unamwalibia mwenzako biashara hujui apo adi TBS wamepitamo, Tanzania tunajua kuponda badala ya kuweka mawazo ili aboreshe nn apunguze nn kwa bidhaa.