Ubovu wa product ya Mo ukwaju

kuna zao huko mbeleni litakuja kuwa almasi nishanunua shamba nimepanda vyema,subira yavuta kheri
 
bado Juice ya miwa na juice ya maboga na juice ya karanga zipo njian zinakuja
 
Hiyo MO ni flavoured drink sio ukwaju halisi...
ndo mana hata bei ni kidogo cheap...!!

Ila bakhera kuanzia embe, ukwaju, chungwa na nanasi anakamua mwenyewe just anaongeza CMC tu kwa baadhi ya juice kuifanya juice iwe nzito...
Vinywaji karibu vyote vya mo huwa anaingiza nchini mchanganyiko ulio tayari, yeye ni kuuweka tu kwenye chupa!! Hana kiwanda hapa!! Na ndio maana huwa unaona yana radha ya ajabu ajabu tu
 
Kwenye mambo ya biashara kuna vitu wanaita #FollowFast

Yaani ukiona mpinzani wako ( Hususani Wanaoitwa Smart Money ) anafanya kitu na kimepokelewa vyema.

Cha Kufanya Ni Kukopi Fasta Iwezekanavyo.

Mabingwa Na Mbinu Hii Ni wachina na wamefanikiwa sana.

Kama Unaogopa Sana Ushindani Dunia Hii Kama Magufuli, Then You Better Quit.

Kitakachokutofautisha Wewe Na Washindani Wako Ni Marketing, Formulation Na Branding Tu .

Hata Hao Azam Mbona Walikopi CocaCola Wakata Azam Cola Pamoja Na Malta
 
Hapa kuna simba na yanga! Hyo ni ukwaju mm ninainywa na iko poa! Ww unajua kupima ubora kuliko TBS na TFDA?
 
Mi nimependa huu ukwaju wa Mo kuliko wa Azam. Ajabu wanaolalamika hakuna aliesema alishindwa kumaliza after some few sips.Kama umekunywa kichupa chots basi ukwaju huu uko sawa kwa walengwa😃
 
kwahio ulitaka same quality for half the price ?, You get what you pay for...

Copy and Originality..., wote hao wanacopy in this day and age, vitu vichache sana ni original under the sun.... issue za beverages sio Azam wala Mo ambao ni waanzilishi.....
 
Hapa kuna simba na yanga! Hyo ni ukwaju mm ninainywa na iko poa! Ww unajua kupima ubora kuliko TBS na TFDA?

Sina ushabiki wakipumbavu kabisa mpk kuleta kwenye chakula , kwani TFDA na TBS wanapima ubora au radha Tuanzie apo kwanza?

Ukweli acha usemwe MO hana ubunifu nikukopy kila kitu na anakopi katika low quality , wewe unakunywa coz ni mshabiki wa simba ila habari unayo ukimaliza kunywa uo wa Mo , pitisha na wa Azam afu kaa chini tafakati jipige kifuani ukisema mimi ni mjinga
 
Mimi niliacha zamani sana kutumia bidhaa za MO, kuna juisi ilikuwa na jina PRIDE wakati imeingizwa sokoni ilikuwa ikikaa muda fulani inajichuja, chini rangi nyingi juu Maji matupu, kuanzia hapo sijawahi kuamini tena bidhaa zake, hata Maji ya maisha au masafi nayo yalikuwa yakikaa siku chache tu yanabadilika rangi, totally bidhaa zake zinachakachuliwa sana.
 

Usiwe na mtazamo huo unakumbuka issue ya mifuko plastic (Rambo) iliyokuwa na picha za akina Rambo na wengine tulielezwa kuwa haina na ikaamriwa itolewe sokoni kisha ikaeletwa hii ya sasa au hukuwepo kipindi hicho? Pia hii tulioambiwa ina ubora nayo pia imezuiliwa, TBS Ndio walioiruhusu kuingizwa sokoni.
 

Hivi aliwahi kutoa bidhaa nzuri hata mara moja?
 
Watanzania hatujambo kwenye upingaji na ukosoaji wakati hatujui kitu
 
Azam hatengenezi juice za matunda halisi. Anakamua pulp anauza Kenya
Hiyo MO ni flavoured drink sio ukwaju halisi...
ndo mana hata bei ni kidogo cheap...!!

Ila bakhera kuanzia embe, ukwaju, chungwa na nanasi anakamua mwenyewe just anaongeza CMC tu kwa baadhi ya juice kuifanya juice iwe nzito...
 
Vinywaji karibu vyote vya mo huwa anaingiza nchini mchanganyiko ulio tayari, yeye ni kuuweka tu kwenye chupa!! Hana kiwanda hapa!! Na ndio maana huwa unaona yana radha ya ajabu ajabu tu
Wewe huna akili. Hakuna mtu anaweza fanya huo ujinga. Viwanda vyote vya soda na vinywaji Tz hununua flavours nchi tofauti na kuja tengeneza syrup hapa Tz na kupack.
Muwe hata mnasoma au kutembelea youtube
 
Watanzania ni wavivu na wao siku zote wanamuona MO tu.
Jambo, Afya, Sayona hawa wote wana bidhaa sawa kwa soko lile lile.

Azam yeye katoa ukwaju. Mo katoa Radha ya Ukwaju.
Kama mtu huwezi lipa 600 basi utapata kwa 300.

Umasikini wetu ndio chanzo haya masoda ya hovyo tungekuwa na uwezo wa kununua juice za maana majuice ya kina Azam tusingeyanunu.
Kuna juice zinatoka nje zinauzwa ghali ila watu huzinunua sana kuliko za azam
 
MO hapa amechemka

MO amechemka sana, hii ukwaju wala si matunda halisi.

Wameweka kemikali nyingi sana ambazo si ukwaju halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…