Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Tanzania imeporomoka kwa nafasi 11 kutoka ya 125 hadi ya 136 mwezi huu katika viwango vipya vya soka Duniani vilivyotolewa leo na FIFA.
Viwango hivyo vya ubora kwa timu za Kiume za taifa zimetolewa leo na FIFA. Kumi bora ya viwango hivyo ni kama ifuatavyo;
Viwango hivyo vya ubora kwa timu za Kiume za taifa zimetolewa leo na FIFA. Kumi bora ya viwango hivyo ni kama ifuatavyo;
- Germany
- Brazil
- Portugal
- Argentina
- Belgium
- Poland
- France
- Spain
- Chile
- Peru