Ubrazameni, muonekano mzuri na cash

Ubrazameni, muonekano mzuri na cash

Amani Benson

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
658
Reaction score
1,502
Mambo vip wana Jamiiforums, kama kichwa kinavyojieleza, kwakweli ninaomba ku share nanyi mambo hayo sisi vijana tumekuwa tunazongwa na hayo mambo kiasi kwamba tunadhani tumeimiliki dunia.

Binafsi nimekuwa mtu wa kujiachia sana na huwa siwazi sana katika maeneo ya kujivinjari, lakini kuna jambo linanitatiza kuna upendo napata toka katika maeneo hayo napokwenda mpaka najiuliza ni upendo wa kweli au ni drama tu.

Picha haiusiani na mimi
 

Attachments

  • _20240528_190128.JPG
    _20240528_190128.JPG
    122.6 KB · Views: 12
Mambo vip wana jamii forums, kama kichwa kinavo jieleza, kwakweli niaomba ku share nanyi mambo hayo sisi vijana tumekua tunazongwa na hayo mambo kiasi kwamba tunadhani tumeimiliki dunia binafsi nimekua mtu wa kujiachia sana na hua siwazi sana katika maeneo ya kujivinjari, lakini kuna jambo lina nitatiza kuna upendo napata toka katika maeneo hayo napo kwenda mpaka najiuliza ni upendo wa kweli au ni drama tu. Picha haiusiani namimi
Huyo kwa picha ni wewe? Kwa sasa uko wapi....
 
Mambo vip wana jamii forums, kama kichwa kinavo jieleza, kwakweli niaomba ku share nanyi mambo hayo sisi vijana tumekua tunazongwa na hayo mambo kiasi kwamba tunadhani tumeimiliki dunia binafsi nimekua mtu wa kujiachia sana na hua siwazi sana katika maeneo ya kujivinjari, lakini kuna jambo lina nitatiza kuna upendo napata toka katika maeneo hayo napo kwenda mpaka najiuliza ni upendo wa kweli au ni drama tu. Picha haiusiani namimi
Huyu Mtoa mada katoka kijiji gani au alidhani humu ni Facebook.
 
Back
Top Bottom