Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrudishe kwao, nakuja mbeya wiki ijayo....ntakuja kukusalimiaNoma sana..... 😂
Kabisa bro thanks for the truthSema huyu mtoto ni mzuri tumpe maua yake
Mkuu bhna unachekesha sasa sasa picha inahusiana na cash kweli jamaniMbona hufananii kama una cash chief?
Ushimen unaharibu sasa kaka😂😂😂Kojana wa hovyo grade one kabisa unalamba misomo...🤨
Tena ninakutandika bakora sasa ..mbaf..☹️
Unataka nikose mrimbwende mzeeKojana wa hovyo grade one kabisa unalamba misomo...🤨
Tena ninakutandika bakora sasa ..mbaf..☹️
😀 😀 😀 bro umetisha sana umenikumbusha moment ya nyuma.... Ndugu ni ndugu tuKumbuka kuweka AKIBA
Usije kusema ndugu wana roho mbaya
😀 😀 😀 bro umetisha sana umenikumbusha moment ya nyuma.... Ndugu ni ndugu tu
Sema ofa ya nini unatoa sio nije tuanze kunyweshana mimaji na hili baridi la kiangaziNatoa offa, Leo nimetembelea uwanja wa sokoine mbeya kuna mechi. Kama kuna mtu yupo hapa aje tusalimiane nimnunulie hata kinywaji.
Dr ni kweli kabisaUkiweka Akiba itasaidia kujiuguza utakapoumwa magonjwa mbalimbali yatokanyo na uzinzi pamoja pombe Kama pressure ,figo n.k
Mkuu naomba hii ofa isiwezs ku expire until saa 1Nipo getini pa kuingilia seat za nyuma kabisa nimevaa earphones
😀 😀 😀 😀 mkuu sasa ata kama sio maji isiwe hii sasaSe
Sema ofa ya nini unatoa sio nije tuanze kunyweshana mimaji na hili baridi la kiangazi
Usilete pigo hizo mzee hatuhusikini na ubovu wa akili yako mende wewe....Mbona unarembua jombaa? Usalama upo?
Piga picha kiume, kaza sura hiyo.Usilete pigo hizo mzee hatuhusikini na ubovu wa akili yako mende wewe....
Mzee vipi umetoka usingizini nini, sura ua maudhui vinahusiana vipi dah.......!?Piga picha kiume, kaza sura hiyo.