Amani Benson
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 658
- 1,502
π π π tunaweza kuishi nao mzee kenzy na hatukimbiingoja waje wenye upendo wao wa agape usikimbie...π
sawa wanamalizia lunch wanakuja wamejaa upendo haswa wanajf hawana dogo wala kubwa usijali..π π π tunaweza kuishi nao mzee kenzy na hatukimbii
π π π π kwakwelisawa wanamalizia lunch wanakuja wamejaa upendo haswa wanajf hawana dogo wala kubwa usijali..
Thanks buddyAll the best
Bro kivipi sasa apo?Unakula midomo braza?
Huyo kwa picha ni wewe? Kwa sasa uko wapi....Mambo vip wana jamii forums, kama kichwa kinavo jieleza, kwakweli niaomba ku share nanyi mambo hayo sisi vijana tumekua tunazongwa na hayo mambo kiasi kwamba tunadhani tumeimiliki dunia binafsi nimekua mtu wa kujiachia sana na hua siwazi sana katika maeneo ya kujivinjari, lakini kuna jambo lina nitatiza kuna upendo napata toka katika maeneo hayo napo kwenda mpaka najiuliza ni upendo wa kweli au ni drama tu. Picha haiusiani namimi
Huyu Mtoa mada katoka kijiji gani au alidhani humu ni Facebook.Mambo vip wana jamii forums, kama kichwa kinavo jieleza, kwakweli niaomba ku share nanyi mambo hayo sisi vijana tumekua tunazongwa na hayo mambo kiasi kwamba tunadhani tumeimiliki dunia binafsi nimekua mtu wa kujiachia sana na hua siwazi sana katika maeneo ya kujivinjari, lakini kuna jambo lina nitatiza kuna upendo napata toka katika maeneo hayo napo kwenda mpaka najiuliza ni upendo wa kweli au ni drama tu. Picha haiusiani namimi
No ni mdogo wangu, nipo mbeya unyakyusani evelyn salt.Huyo kwa picha ni wewe? Kwa sasa uko wapi....
Yeah sure mzee ni mtu kutoka fesibuku toka tukuyu mbeya......Huyu Mtoa mada katoka kijiji gani au alidhani humu ni Facebook.
π π π π mzee bb ushauri au vyovyote vile inavokua but sio matusi tuUnataka ushaur gan au unatuelekeza nn mzee bb?
Sasa si ungeweka yako ili tuchangie vizuri.....No ni mdogo wangu, nipo mbeya unyakyusani evelyn salt.
Ushauri leo hatuna tuna matusi tu.....π π π π mzee bb ushauri au vyovyote vile inavokua but sio matusi tu