Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha Mjini Sabaya atia mguu yumo, Mollel, Kalist na Gambo

Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha Mjini Sabaya atia mguu yumo, Mollel, Kalist na Gambo

Hukusikia Lissu anawatetea Wazungu waendelee kutuibia madini?
Ila nkikumbuka movie lilivyobadilika eti chadema wanashirikiana na mabeberu kuiba rasilimali zetu huwa sina hamu na siasa za bongo, yaan mmesainisha mikata ya kijinga hii nchi wazungu wakatuibia zaidi ya miongo mitatu afu kirahisi tu mnabadili lugha kuwa chadema wanashirikiana na wazungu kuiba rasilimali zetu, muogopeni hata Mungu jmn. Gesi hati ya zarura ikachukuliwa leo mnajisafisha kirahisi hivyo.
 
Huyo Monaban unampa sifa za uongo sana hapo. Ana kashfa ya kutokimsaidia hata mama yake mzazi na pia uchaguzi ule wa 2015, kwa sababu ya kuwa upande wa lowasa wala hakuwa na nia Dhabiti ya kushinda ni kama alimwachia Lema Ushindi.
 
Wamilia ya MONOBAN,inakuhusu nini wewe..wale wanawatelekeza wanawake mpaka wanaandamana kugongewe na wakenya ..mbona hausemi..Nyani haoni kundule.
[emoji23][emoji23] Monaban awezi toboa mahali yoyote, laana ya mama ake inamwandama.....Angalia sera na Uongozi wa mtu kijanaa, usisuport Ukabila...hii ni Tanzania.
 
Gambo mtoe hapo, ameshapungukiwa sifa za uadilifu baada ya KUTUMBULIWA Ukuu wa Mkoa. TAYARI AMECHAFUKA.
 
[emoji1787][emoji1787]njoo nikupe kama unaeza.foreskined.....nakuandama mbaguzi wewe...miaka 50 ya uhuru bado unaleta ukabila...nina wasiwasi na Uraia wako.
Umpe nini? Unatoa nini?
 
Kwa maana hiyo, hata Mbunge Bilionea wa CCM hana msaada Bungeni kwa wananchi na amaweza kuzidiwa hata na mbunge kijani wa upinzania anaetoka mtaani na kuingia Bungeni kwa mara ya kwanza huku akiwa hana kitu.
Kama Joshua Nassary au sio?
 
Arusha ni ya Wachaga ndio maana anetoka Mrema akaja Lema hawa wengine ni wasindikizaji tu
 
Back
Top Bottom