Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Ila nkikumbuka movie lilivyobadilika eti chadema wanashirikiana na mabeberu kuiba rasilimali zetu huwa sina hamu na siasa za bongo, yaan mmesainisha mikata ya kijinga hii nchi wazungu wakatuibia zaidi ya miongo mitatu afu kirahisi tu mnabadili lugha kuwa chadema wanashirikiana na wazungu kuiba rasilimali zetu, muogopeni hata Mungu jmn. Gesi hati ya zarura ikachukuliwa leo mnajisafisha kirahisi hivyo.
Mbona nyie mnaiba sana?Hukusikia lissu anawatetea Wazungu waendelee kutuibia madini?
Umeanza kuleta ule Uarusha wako Huku?Sabaya anaenda Arumeru Mashariki..Hili jimbo la Arusha mjini.linamuhitaji mtu kama Sabaya kwa sasa,na kwa kasi ya Rais wetu..hili jembe litamfaa.
[emoji23][emoji23] Monaban awezi toboa mahali yoyote, laana ya mama ake inamwandama.....Angalia sera na Uongozi wa mtu kijanaa, usisuport Ukabila...hii ni Tanzania.Wamilia ya MONOBAN,inakuhusu nini wewe..wale wanawatelekeza wanawake mpaka wanaandamana kugongewe na wakenya ..mbona hausemi..Nyani haoni kundule.
Njia ya kurudi machame sio?Njia nyeupe kwa Lema
Umpe nini? Unatoa nini?[emoji1787][emoji1787]njoo nikupe kama unaeza.foreskined.....nakuandama mbaguzi wewe...miaka 50 ya uhuru bado unaleta ukabila...nina wasiwasi na Uraia wako.
AlichokitakaUmpe nini? Unatoa nini?
Ujinga wenu ndio husababisha mgawane kura,wizi wa kura hauwafikishi kokoteNjia ya kurudi machame sio?
[emoji23][emoji23] wasi wasi ni wa nini sasa?...kuna cha kuwaambia wananchi?Ujinga wenu ndio husababisha mgawane kura,wizi wa kura hauwafikishi kokote
Kama Joshua Nassary au sio?Kwa maana hiyo, hata Mbunge Bilionea wa CCM hana msaada Bungeni kwa wananchi na amaweza kuzidiwa hata na mbunge kijani wa upinzania anaetoka mtaani na kuingia Bungeni kwa mara ya kwanza huku akiwa hana kitu.
Yaan tunadili na mtu aliyewatetea tunaacha aliyesainisha kabisa mikata feki kugawa rasilimali zetuHukusikia lissu anawatetea Wazungu waendelee kutuibia madini?
Unauliza jibu?Magufuli anadhulumu mafao ya wastaafu?
Hahahaaaaaa, uko sahihiNi kama ya chama kile fomu ya urais ni moja tu, ukitaka kugombea unamwomba akutolee copy
Hili jimbo la Arusha mjini.linamuhitaji mtu kama Sabaya kwa sasa,na kwa kasi ya Rais wetu..hili jembe litamfaa.