Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo

Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Kuna msemo usemao, Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.

Hao wenye moyo ni wazalendo wa kweli wa nchi yetu.

Tangu baada ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, amekufa na Azimio lake la Arusha lililoweka miiko ya uongozi, sifa ya uongozi wa umma enzi za Mwalimu ilikuwa ni uzalendo wa mtu kwa taifa lake na kujitoa kwake kutumikia jamii, Lakini sasa sifa kuu ya uongozi ni kiwango cha ukwasi mtu alionacho na kiasi gani anaweza kugawa kwa wajumbe na kukichangia chama!. Hivyo ili kumpima mtu kiwango cha ukwasi wake, baadhi ya vyama vimeweka viwango vya juu vya fedha za kujaza fomu ya kuombea uongozi, kuanzia 100,000, 500,000, 1,000,000 hadi 5,000,000 kwa baadhi ya nafasi!, hivyo kama wewe ni lile kundi la akina "pangu pakavu", hohehahe mwenzagu na mimi, huna kitu!, pita mbali kabisa na uongozi wa umma!.

Kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Eala, nimeshuhudia utitiri wa wagombea zaidi ya 186 Kuwania nafasi 9 za uwakilishi, kati ya hizo nafasi 6 ni za CCM, 3 za upinzani.

Hivyo mimi kama Mtanzania Mzalendo, Natoa mchango wangu kuhamasisha uzalendo, kwa chama changu CCM, na nchi yangu Tanzania, kwa swali moja muhimu, kwenye uongozi wa umma, jee turudishe mtindo wa kwanza kuwatafuta wazalendo wa kweli wa nchi hii, ndipo kisha tuangalie sifa na vigezo, wakikidhi vyote viwili ndipo wateuliwe kwenye uongozi wa umma.

Sifa kuu ya kwanza iwe ni uzalendo, na uwezo hata kama hawana kitu, au tuendelee kuwateua wenye kitu ndio watuwakilishe hata kama hawana uwezo?.

Bandiko hili ni bandiko elimishi la kukisaidia chama changu jinsi ya kupata competent people kukiwezesha chama kuwatambua hao competent people na kututeulia watu wenye uzalendo wa kweli, kipimo cha Uzalendo wa kweli, ni mapenzi ya kweli na ya dhati kuitumikia nchi yako na hata ikibidi, kuutoa uhai wako kuifia nchi yako ipone hivyo unakuwa umeifia nchi yako.

Ukiona jina la mtu yoyote, anataka uongozi wa umma, kabla hata hatujajua uwezo wake, swali letu la kwanza liwe ni "Jee mtu huyu ni Mzalendo wa kweli wa taifa hili?" Uzalendo wake ni upi?. Ndipo tuje kwenye jee ana kidhi sifa na vigezo?, na la mwisho ni liwe, jee ana uwezo?. Huu uwezo unapimwa kwa a track record ameishawahi kufanya nini?.

Mtu akitaka uongozi wa umma, afanyiwe kwanza uzalendo test, akipita ndio sasa zije sifa na vigezo, akikidhi, atauliwe hata kama hana fedha na akifeli atoswe hata kama ni bilionea na ana ukwasi mkubwa!.

Tuendelee kutegemea tuu mgombea kukidhi sifa na vigezo, mfano kwenye ubunge wa Bunge la JMT, kwa upande wa elimu sifa ni mtu kujua kusoma na kuandika tuu, hivyo hata darasa la 7 anaweza kuwa Mbunge mzuri tuu wa Bunge la JMT, lakini kwenye ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, yaani EALA, wabunge wale ni wawakilishi wa nchi na sio wawakilishi wa watu, hivyo wawakilishi wetu, ni lazima wawe na sifa za ziada za kwenda kuwakilisha nchi na sio tunapeleka baadhi ya wabunge mabubu, ambao michango yao haionekani kwenye hansard zozote za Bunge hilo, wakati baadhi ya majirani zetu, wanatamba kwenye bunge hilo, utadhani Watanzania, hatuna uwakilishi!.

Nikijitolea tena mfano mimi mwenyewe, katika miaka yangu 30 ya uandishi wa habari, kuna mengi niliandika, niliotangaza, na nilioshauri, yamelisaidia sana taifa langu, naomba kwa sasa niyasitaje wala kuyaorodhesha, nisije nikaonekana najifagilia.

Katika miaka yangu 30 ya uandishi wa habari as nobody, kuna mengi nimeshauri, yalifuatwa yamesaidia, yaliyopuuzwa matokeo tunayajua, hivyo kila kunapotokea ushauri mzuri wa kusaidia na ukapuuzwa na matokeo ya kupuuzwa huko ni majanga, na kuishia kuumia, sasa nimefikia uamuzi na kusema "kuendelea kuumia basi!", nimeamua kujitosa ili kwenda kuisaidia nchi yangu.

Sasa baada ya miaka 30 ya uandishi wa habari as nobody kuna vitu nimeshauri kwa kuaandika, na kutangaza na vikapuuzwa simply because I was nobody!. Unapojitolea kusaidia mambo as nobody na mengine yakapuuzwa na kuleta majanga unaumia sana!. Sasa kumetokea fursa ya kuwa somebody, nimejitathmini na kujiona, kwa sasa mimi kama mwandishi wa habari na mtangazaji mwandamizi, mwanasheria, na wakili wa kujitegemea, kuna mahali nitaweza kulisaidia zaidi taifa langu, kuliko hata hiki ninachofanya kwenye sekta ya habari.

Hatua ya kwanza ni kubadili status ya kutoka kuwa nobody na kuwa somebody, hivyo nitakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa
kubisha hodi na kuingia popote kushauri, ikiwemo kumsaidia Rais wa JMT, ambako ni kulisaidia taifa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT anaweza kushauriwa vyovyote na yeyote, lakini kwenye kufikia maamuzi, rais atafikia maamuzi, yeye kama yeye, na sio lazima, apokee ushauri wa yeyote.

Ukijitolea kumshauri rais wa JMT jambo lolote, katika ushauri huo, weka na matokeo ya kupuuzwa kwa ushauri wako huo, hivyo ukitoa ushauri, wewe unakuwa umetimiza wajibu wako, ushauri wako usipofuatwa, hiyo sasa sio juu yako, ila unaweza kuyatumia matokeo ya kupuuzwa kwa ushauri huo kama shamba darasa ili next time ukitoa ushauri, uzingatiwe.

Kwa vile mchakato wa kuwapata wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, umetangazwa, nashauri ili taifa lipate wawakilishi wazuri na makini, tufanye mambo mawili yafuatayo
  1. Kwa waliokuwa wawakilishi wetu kwenye Bunge hilo ambao wanataka kuwania kuendelea kwa awamu yaa ya pili, waulizwe katika uwakilishi wao, ndani ya Bunge hilo kwa miaka 5 iliyopita, wamechangia nini na wamelisaidia nini taifa?. Taarifa zao ziandamane na uthibitisho wa hansard ya Bunge hilo, ili wale waliotuwakilisha vizuri, ndio wapewe fursa ya kugombea kipindi cha pili, tuwarudishe, na wale mabubu, tuwashukuru kwa uwakilishi wao kwa kuwaambia asante, tuwapumzishe!. Baada ya kuiingiza DRC ndani ya EAC na ujio wa AfCFTA, hizi sio zama za Tanzania kuwakilishwa na mtu ili mradi ni mtu, we real need competent people kutuwakilisha.
  2. Watu wapya waliojitokeza kutaka kutuwakilisha, kila mmoja atakiwe kupeleke a write up hata ya page 1, yenye ku set ajenda za Tanzania kama nchi anazotaka kwenda kuzipigania kwenye EALA na kupewa dakika 5 za kujieleza kwa lugha ya Kiingereza safi kilicho nyooka!. Moja ya sababu za baadhi ya wawakilishi wetu kuwa mabubu kwenye mijadala ya kuchangia hoja za Bunge la EALA, ni Lugha.
Maadam mimi mwandishi wenu wa makala hizi za kwa Maslahi ya Taifa, nina jinasibu kuwa ni Mzalendo, nina uwezo, yaani ability na niko capable, kwa maana ya capability, kuna siku nitauzungumzia uzalendo, uwezo wangu wa ability na capability but not now, nisije tafsiriwa kuwa ni kujipigia debe, kwasababu humo ndani ya huo utitiri wa watu 186, namimi humo, nimo!.

Unaionaje ushauri huu?.

Karibuni.

Paskali.
 
Nakuamini Sana uncle Pascal Mayalla kwa unachokisema, Mwalimu JK Nyerere aliwahi tamka katika mkutano mmoja wa CCM kuwa miaka iliyopita walikua wanahoji mgombea mwenye pesa kuwa kazitolea wapi, lakini mwaka ule alisema kuwa pesa ilikuwa ni number one qualification.

Katika kipindi hiki tunahitaji watu wenye uwezo, uzalendo na kujitambua na siyo wenye pesa tu Kama kigezo, ukistaajabu ya Musa utayaona ya CCM.

Ukiingia katika kinyang'anyiro chochote ndani ya CCM jiulize yafuatayo.

1. Wewe ni mmoja wa waliotolewa maelekezo kwa hao wanaopiga kura?

2.Umepiga kampeni ya kutosha kwa wajumbe kwa kuwafuata kabla ya kwenda kujinadi so as to be elected?

MAANA CCM INAWENYEWE NA WENYEWE NDIO WATOA MAELEKEZO, NI HAYO TU.

TIME HEALS ALL WOUNDS
 
Hilo bunge halina cha maana. Zaidi sana ni kujitengenezea CV tu. Msingi wa EALA umejengwa kwenye National Parliamentary of Partner States. Kule hakuna jambo jipya mkuu zaidi ya kutengeneza hela na CV.
Uzalendo unatakiwa kuanzia kwenye Bunge la Nyumbani. EALA hawana uwezo wa kujadili masuala yanayotugusa sisi wananchi moja kwa moja.
Kila la heri mkuu!
 
Kuna msemo usemao, Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.

Hao wenye moyo ni wazalendo wa kweli wa nchi yetu.

Tangu baada ya kifo cha Baba wa Taifa na kufa na Azimio lake la Arusha lililoweka miiko ya uongozi, sifa ya uongozi wa umma ilikuwa ni uzalendo wa mtu kwa taifa lake Lakini sasa sifa kuu ya uongozi ni kiwango cha ukwasi mtu alionao hivyo ili kumpima mtu kiwango cha ukwasi wake, baadhi ya vyama vimeweka viwango vya juu vya fedha za kujaza fomu kuanzia milioni 1 hadi milioni 5 kwa baadhi ya nafasi, ila kama wewe ni hohehahe mwenzagu na mimi, huna kitu!, pita mbali kabisa na uongozi wa umma!.

Kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Eala, nimeshuhudia utitiri wa wagombea zaidi ya 100 Kuwania nafasi 9 za uwakilishi.

Hili ni Bandiko la kuhamasisha uzalendo, kwa chama changu, na nchi yangu, jee turudishe mtindo wa kuwatafuta wazalendo wa kweli wa Nchi hii, ndio wateuliwe kwenye uongozi wa umma hata kama hawana kitu, au tuendelee kuwateua wenye kitu ndio watuwakilishe hata kama hawana uwezo?.

Bandiko hili ni Bandiko elimishi la kufundisha uzalendo wa kweli, Kipimo Cha Uzalendo, ni Mapenzi ya Kweli ya Dhati Kuitumikia Nchi Yako na Ikibidi, Kuutoa Uhai Wako Kuifia nchi yako!. Jee Wewe ni Mzalendo?.

Mtu akitaka uongozi wa umma, afanyiwe kwanza uzalendo test, akipita ndio atauliwe hata kama hana fedha na akifeli atoswe hata kama ana ukwasi mkubwa!.

Maadam mimi mwandishi wenu wa makala hizi za kwa Maslahi ya Taifa, nina jinasibu kuwa ni Mzalendo, kuna siku nitauzungumzia uzalendo wangu but not now, nisije tafsiriwa kuwa ni kujipigia Debe, kwasababu humo nami nimo!.
Unaionaje ushauri huu?.

Karibuni.

Paskali.

Hili neno uzalendo lilitumika ndivyo sivyo wakati wa Magufuli, kwa bahati mbaya uhuni ule mmeendelea kuutumia hadi sasa. Wakati wa Magufuli uzalendo ilikuwa ni kukubaliana na kila atakacho, hadi ikafikia kutokuona tofauti kati ya uzalendo na ujinga. As a result kwa sasa ni ngumu kutofautisha kati ya mzalendo na mjinga, hasa unapokuwa ni mwanaccm.

Huwa nawadharau sana watu wanaotumia maslogan ya kijamaa kwenye dunia ya sasa ya kidigitali. Ww Paskali kwa umri wako siwezi kukulaumu unapokuwa na hizo particles za kijamaa, maana ulilelewa na mzazi aliyekuwa serekalini, hivyo ujamaa aliufuata kwa kupenda ama la. Lakini kwa kifupi huwa nasikia kinyaa mtu akijiita mzalendo, maana ni kama gear ya kitapeli ya kupatia fursa za vyeo.
 
Uteuzi wa mtu kuingia chombo chochote cha kimataifa CCM huangalia vitu vingi ambavyo pia huhusisha taasisi nyingi ndani na nje ya chama

CCM haiangalii kigezo kimoja tu!!
 
Kuna msemo usemao, Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.

Hao wenye moyo ni wazalendo wa kweli wa nchi yetu.

Tangu baada ya kifo cha Baba wa Taifa na kufa na Azimio lake la Arusha lililoweka miiko ya uongozi, sifa ya uongozi wa umma ilikuwa ni uzalendo wa mtu kwa taifa lake Lakini sasa sifa kuu ya uongozi ni kiwango cha ukwasi mtu alionao hivyo ili kumpima mtu kiwango cha ukwasi wake, baadhi ya vyama vimeweka viwango vya juu vya fedha za kujaza fomu kuanzia milioni 1 hadi milioni 5 kwa baadhi ya nafasi, ila kama wewe ni hohehahe mwenzagu na mimi, huna kitu!, pita mbali kabisa na uongozi wa umma!.

Kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Eala, nimeshuhudia utitiri wa wagombea zaidi ya 100 Kuwania nafasi 9 za uwakilishi.

Hili ni Bandiko la kuhamasisha uzalendo, kwa chama changu, na nchi yangu, jee turudishe mtindo wa kuwatafuta wazalendo wa kweli wa Nchi hii, ndio wateuliwe kwenye uongozi wa umma hata kama hawana kitu, au tuendelee kuwateua wenye kitu ndio watuwakilishe hata kama hawana uwezo?.

Bandiko hili ni Bandiko elimishi la kufundisha uzalendo wa kweli, Kipimo Cha Uzalendo, ni Mapenzi ya Kweli ya Dhati Kuitumikia Nchi Yako na Ikibidi, Kuutoa Uhai Wako Kuifia nchi yako!. Jee Wewe ni Mzalendo?.

Mtu akitaka uongozi wa umma, afanyiwe kwanza uzalendo test, akipita ndio atauliwe hata kama hana fedha na akifeli atoswe hata kama ana ukwasi mkubwa!.

Maadam mimi mwandishi wenu wa makala hizi za kwa Maslahi ya Taifa, nina jinasibu kuwa ni Mzalendo, kuna siku nitauzungumzia uzalendo wangu but not now, nisije tafsiriwa kuwa ni kujipigia Debe, kwasababu humo nami nimo!.
Unaionaje ushauri huu?.

Karibuni.

Paskali.
Ni nani mwadilifu ndani ya Ccm?
Kama hata kuanfikisha sensa kumetokea mafigisu kibao je nafasi ya ubunge?
Ccm imesha laanika siku nyingi. Tuna subiri anguko lake la mwisho tuu!!
Huwezi washindisha vijana kwenye mitandao wakijaza mafomu ambayo hamta yatumia na bado wakawa na imani na nyie. Ni mazuzu tuu wana weza kuielewa Ccm
 
Kuna msemo usemao, Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.

Hao wenye moyo ni wazalendo wa kweli wa nchi yetu.

Tangu baada ya kifo cha Baba wa Taifa na kufa na Azimio lake la Arusha lililoweka miiko ya uongozi, sifa ya uongozi wa umma ilikuwa ni uzalendo wa mtu kwa taifa lake Lakini sasa sifa kuu ya uongozi ni kiwango cha ukwasi mtu alionao hivyo ili kumpima mtu kiwango cha ukwasi wake, baadhi ya vyama vimeweka viwango vya juu vya fedha za kujaza fomu kuanzia milioni 1 hadi milioni 5 kwa baadhi ya nafasi, ila kama wewe ni hohehahe mwenzagu na mimi, huna kitu!, pita mbali kabisa na uongozi wa umma!.

Kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Eala, nimeshuhudia utitiri wa wagombea zaidi ya 100 Kuwania nafasi 9 za uwakilishi.

Hili ni Bandiko la kuhamasisha uzalendo, kwa chama changu, na nchi yangu, jee turudishe mtindo wa kuwatafuta wazalendo wa kweli wa Nchi hii, ndio wateuliwe kwenye uongozi wa umma hata kama hawana kitu, au tuendelee kuwateua wenye kitu ndio watuwakilishe hata kama hawana uwezo?.

Bandiko hili ni Bandiko elimishi la kufundisha uzalendo wa kweli, Kipimo Cha Uzalendo, ni Mapenzi ya Kweli ya Dhati Kuitumikia Nchi Yako na Ikibidi, Kuutoa Uhai Wako Kuifia nchi yako!. Jee Wewe ni Mzalendo?.

Mtu akitaka uongozi wa umma, afanyiwe kwanza uzalendo test, akipita ndio atauliwe hata kama hana fedha na akifeli atoswe hata kama ana ukwasi mkubwa!.

Maadam mimi mwandishi wenu wa makala hizi za kwa Maslahi ya Taifa, nina jinasibu kuwa ni Mzalendo, kuna siku nitauzungumzia uzalendo wangu but not now, nisije tafsiriwa kuwa ni kujipigia Debe, kwasababu humo nami nimo!.
Unaionaje ushauri huu?.

Karibuni.

Paskali.
CCM ya sasa ilovamiwa na wahuni,

Wazalendo hawatakiwi kabisa, hamia CDM labda.
 
Hili neno uzalendo lilitumika ndivyo sivyo wakati wa Magufuli, kwa bahati mbaya uhuni ule mmeendelea kuutumia hadi sasa. Wakati wa Magufuli uzalendo ilikuwa ni kukubaliana na kila atakacho, hadi ikafikia kutokuona tofauti kati ya uzalendo na ujinga. As a result kwa sasa ni ngumu kutofautisha kati ya mzalendo na mjinga, hasa unapokuwa ni mwanaccm.

Huwa nawadharau sana watu wanaotumia maslogan ya kijamaa kwenye dunia ya sasa ya kidigitali. Ww Paskali kwa umri wako siwezi kukulaumu unapokuwa na hizo particles za kijamaa, maana ulilelewa na mzazi aliyekuwa serekalini, hivyo ujamaa aliufuata kwa kupenda ama la. Lakini kwa kifupi huwa nasikia kinyaa mtu akijiita mzalendo, maana ni kama gear ya kitapeli ya kupatia fursa za vyeo.
Bora umempa makavu ,,Ccm haina mzalendo,,,mawaziri karibia wote ni mabilionea huku sisi wananchi tukinywa maji ya kumkamua chura...


Halafu Mayalla si Mgombea !!Mgombea anawashauri mabosi zake ajabu Sana..akili kichwa asije kutulilia .
 
Kuna msemo usemao, Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.

Hao wenye moyo ni wazalendo wa kweli wa nchi yetu.

Tangu baada ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, amekufa na Azimio lake la Arusha lililoweka miiko ya uongozi, sifa ya uongozi wa umma enzi za Mwalimu ilikuwa ni uzalendo wa mtu kwa taifa lake na kujitoa kwake kutumikia jamii, Lakini sasa sifa kuu ya uongozi ni kiwango cha ukwasi mtu alionacho na kiasi gani anaweza kugawa kwa wajumbe na kukichangia chama!. Hivyo ili kumpima mtu kiwango cha ukwasi wake, baadhi ya vyama vimeweka viwango vya juu vya fedha za kujaza fomu kuanzia milioni 1 hadi milioni 5 kwa baadhi ya nafasi, ila kama wewe ni hohehahe mwenzagu na mimi, huna kitu!, pita mbali kabisa na uongozi wa umma!.

Kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Eala, nimeshuhudia utitiri wa wagombea zaidi ya 100 Kuwania nafasi 9 za uwakilishi!.

Hivyo mimi kama Mtanzania Mzalendo, Natoa mchango wangu kuhamasisha uzalendo, kwa chama changu, na nchi yangu, Kwa swali moja muhimu, jee turudishe mtindo wa kuwatafuta wazalendo wa kweli wa Nchi hii, ndio wateuliwe kwenye uongozi wa umma hata kama hawana kitu, au tuendelee kuwateua wenye kitu ndio watuwakilishe hata kama hawana uwezo?.

Bandiko hili ni Bandiko elimishi la kukikumbusha chama changu CCM kututeulia watu wenye uzalendo wa kweli, kipimo cha Uzalendo wa kweli, ni mapenzi ya kweli na ya dhati kuitumikia nchi yako na Ikibidi, kuutoa uhai wako kuifia nchi yako!. Ukiona jina la mtu yoyote, anataka uongozi wa umma, kabla hata hatujajua uwezo wake, swali letu la kwanza liwe ni Jee mtu huyu ni Mzalendo wa kweli wa taifa hili?. Uzalendo wake ni upi?. Ndipo tuje kwenye jee ana sifa na vigezo?, na la mwisho ni liwe, jee ana uwezo?. Huu uwezo unapimwa kwa ameishawahi kufanya nini?.

Mtu akitaka uongozi wa umma, afanyiwe kwanza uzalendo test, akipita ndio atauliwe hata kama hana fedha na akifeli atoswe hata kama ana ukwasi mkubwa!. kuu ni kukidhi sifa na vigezo, na kwa upande wa elimu ni mtu kujua kusoma na kuandika, lakini kwenye ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, wabunge wale ni wawakilishi wa nchi na sio wawakilishi wa watu, hivyo wawakilishi wetu, ni lazima wawe na sifa za ziada za kwenda kuwakilisha nchi na sio tunapeleka baadhi ya wabunge mabubu, ambao michango yao haionekani kwenye hansard zozote za Bunge hilo, wakati baadhi ya majirani zetu, wanatamba kwenye bunge hilo, utadhani Watanzania, hatuna wawakilishi!.

Nikijotolea tena mfano mimi mwenyewe, katika miaka yangu 30 ya uandishi wa habari, kuna mengi niliandika, niliotangaza, na nilioshauri, yamelisaidia taifa langu, naomba kwa sasa niyasitaje wala kuyaorodhesha, nisije nikaonekana najifagilia.

Katika miaka yangu 30 ya uandishi wa habari as nobody, kuna mengi nimeshauri, yalifuatwa yamesaidia, yaliyopuuzwa matokeo tunayajua, hivyo kila kunapotokea ushauri mzuri wa kusaidia na ukapuuzwa na matokeo ya kupuuzwa huko ni majanga, na kuishia kuumia, sasa nimefikia uamuzi wa kuendelea kuumia basi!, nimeamua kujitosa ila kusaidia.

Sasa baada ya miaka 30 ya uandishi wa habari as nobody na kupuuzwa, nilijitolea kusaidia mambo mengi as nobody na mengine yakapuuzwa na kuleta majanga. Sasa kumetokea fursa ya kuwa somebody, nimejitathmini na kujiona, kwa sasa mimi kama mwanasheria, na wakili, kuna mahali nitaweza kulisaidia sana taifa langu, kuliko hata kwenye sekta ya habari.

Hatua ya kwanza ni kubadili status ya kutoka kuwa nobody na kuwa somebody, hivyo nitakuwa na uwezo mkubwa kubisha hodi na kuingia popote kushauri, ikiwemo kumsaidia Rais wa JMT, ambako ni kulisaidia taifa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT anaweza kushauriwa vyovyote na yeyote, lakini kwenye kufikia maamuzi, rais atafikia maamuzi, yeye kama yeye, na sio lazima, apokee ushauri wa yeyote.

Ukijitolea kumshauri rais wa JMT jambo lolote, katika ushauri huo, weka na matokeo ya kupuuzwa kwa ushauri wako huo, hivyo ukitoa ushauri, wewe unakuwa umetimiza wajibu wako, ushauri wako usipofuatwa, hiyo sasa sio juu yako, ila unaweza kuyatumia matokeo ya kupuuzwa kwa ushauri huo kama shamba darasa ili next time ukitoa ushauri, uzingatiwe.

Kwa vile mchakato wa kuwapata wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, umetangazwa, nashauri ili taifa lipate wawakilishi wazuri na makini, tufanye mambo mawili yafuatayo
  • Kwa waliokuwa wawakilishi wetu kwenye Bunge hilo ambao wanataka kuwania kuendelea awamu ya pili, waulizwe katika uwakilishi wao, ndani ya Bunge hilo kwa miaka 5 iliyopita, wamechangia nini na wamelisaidia nini taifa?. Taarifa zao ziandamane na uthibitisho wa hansard ya Bunge hilo, ili wale waliotuwakilisha vizuri, ndie wapewe fursa ya kugombea kipindi cha pili, na wale mabubu, wakatwe, watupe pembeni. Hizi sio zama za uwakilishi wa mabubu kwenye uwakilishi wa nchi!.
  • Watu wapya waliojitokeza kutaka kutuwakilisha, kila mmoja apeleke a write up hata ya page 2, yenye kueleza ajenda za nchi anazotaka kwenda kuzipigania kwenye EALA na kupewa dakika 5 za kujieleza kwa lugha ya Kiingereza safi kilicho nyooka!. Moja ya sababu za baadhi ya wawakilishi wetu kuwa mabubu kwenye mijadala ya kuchangia hoja za Bunge la EALA, ni Lugha.
Maadam mimi mwandishi wenu wa makala hizi za kwa Maslahi ya Taifa, nina jinasibu kuwa ni Mzalendo, nina uwezo, yaani ability na niko capable, kwa maana ya capability, kuna siku nitauzungumzia uzalendo, uwezo wangu wa ability na capability but not now, nisije tafsiriwa kuwa ni kujipigia Debe, kwasababu humo ndani ya utitiri huo, nami nimo!.

Unaionaje ushauri huu?.

Karibuni.

Paskali.
Vetting ndani ya CCM inatakiwa kuwa makini sana na wagombea maana Rwanda Kenya na Uganda huwa wanaweka watu makini mno kwa ustawi wa Nchi zao...


Kwa Mayalla ambae nakujua mimi nadhan unastahili hii nafasi pasi na shaka
 
Mkuu tulia unyolewe . kama jimbo la kawe wajumbe walikuchinjilia mbali . sembuse huko? . stay tuned😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Kuna msemo usemao, Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.

Hao wenye moyo ni wazalendo wa kweli wa nchi yetu.

Tangu baada ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, amekufa na Azimio lake la Arusha lililoweka miiko ya uongozi, sifa ya uongozi wa umma enzi za Mwalimu ilikuwa ni uzalendo wa mtu kwa taifa lake na kujitoa kwake kutumikia jamii, Lakini sasa sifa kuu ya uongozi ni kiwango cha ukwasi mtu alionacho na kiasi gani anaweza kugawa kwa wajumbe na kukichangia chama!. Hivyo ili kumpima mtu kiwango cha ukwasi wake, baadhi ya vyama vimeweka viwango vya juu vya fedha za kujaza fomu kuanzia milioni 1 hadi milioni 5 kwa baadhi ya nafasi, ila kama wewe ni hohehahe mwenzagu na mimi, huna kitu!, pita mbali kabisa na uongozi wa umma!.

Kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Eala, nimeshuhudia utitiri wa wagombea zaidi ya 100 Kuwania nafasi 9 za uwakilishi!.

Hivyo mimi kama Mtanzania Mzalendo, Natoa mchango wangu kuhamasisha uzalendo, kwa chama changu, na nchi yangu, Kwa swali moja muhimu, jee turudishe mtindo wa kuwatafuta wazalendo wa kweli wa Nchi hii, ndio wateuliwe kwenye uongozi wa umma hata kama hawana kitu, au tuendelee kuwateua wenye kitu ndio watuwakilishe hata kama hawana uwezo?.

Bandiko hili ni Bandiko elimishi la kukikumbusha chama changu CCM kututeulia watu wenye uzalendo wa kweli, kipimo cha Uzalendo wa kweli, ni mapenzi ya kweli na ya dhati kuitumikia nchi yako na Ikibidi, kuutoa uhai wako kuifia nchi yako!. Ukiona jina la mtu yoyote, anataka uongozi wa umma, kabla hata hatujajua uwezo wake, swali letu la kwanza liwe ni Jee mtu huyu ni Mzalendo wa kweli wa taifa hili?. Uzalendo wake ni upi?. Ndipo tuje kwenye jee ana sifa na vigezo?, na la mwisho ni liwe, jee ana uwezo?. Huu uwezo unapimwa kwa ameishawahi kufanya nini?.

Mtu akitaka uongozi wa umma, afanyiwe kwanza uzalendo test, akipita ndio atauliwe hata kama hana fedha na akifeli atoswe hata kama ana ukwasi mkubwa!. kuu ni kukidhi sifa na vigezo, na kwa upande wa elimu ni mtu kujua kusoma na kuandika, lakini kwenye ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, wabunge wale ni wawakilishi wa nchi na sio wawakilishi wa watu, hivyo wawakilishi wetu, ni lazima wawe na sifa za ziada za kwenda kuwakilisha nchi na sio tunapeleka baadhi ya wabunge mabubu, ambao michango yao haionekani kwenye hansard zozote za Bunge hilo, wakati baadhi ya majirani zetu, wanatamba kwenye bunge hilo, utadhani Watanzania, hatuna wawakilishi!.

Nikijotolea tena mfano mimi mwenyewe, katika miaka yangu 30 ya uandishi wa habari, kuna mengi niliandika, niliotangaza, na nilioshauri, yamelisaidia taifa langu, naomba kwa sasa niyasitaje wala kuyaorodhesha, nisije nikaonekana najifagilia.

Katika miaka yangu 30 ya uandishi wa habari as nobody, kuna mengi nimeshauri, yalifuatwa yamesaidia, yaliyopuuzwa matokeo tunayajua, hivyo kila kunapotokea ushauri mzuri wa kusaidia na ukapuuzwa na matokeo ya kupuuzwa huko ni majanga, na kuishia kuumia, sasa nimefikia uamuzi wa kuendelea kuumia basi!, nimeamua kujitosa ila kusaidia.

Sasa baada ya miaka 30 ya uandishi wa habari as nobody na kupuuzwa, nilijitolea kusaidia mambo mengi as nobody na mengine yakapuuzwa na kuleta majanga. Sasa kumetokea fursa ya kuwa somebody, nimejitathmini na kujiona, kwa sasa mimi kama mwanasheria, na wakili, kuna mahali nitaweza kulisaidia sana taifa langu, kuliko hata kwenye sekta ya habari.

Hatua ya kwanza ni kubadili status ya kutoka kuwa nobody na kuwa somebody, hivyo nitakuwa na uwezo mkubwa kubisha hodi na kuingia popote kushauri, ikiwemo kumsaidia Rais wa JMT, ambako ni kulisaidia taifa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT anaweza kushauriwa vyovyote na yeyote, lakini kwenye kufikia maamuzi, rais atafikia maamuzi, yeye kama yeye, na sio lazima, apokee ushauri wa yeyote.

Ukijitolea kumshauri rais wa JMT jambo lolote, katika ushauri huo, weka na matokeo ya kupuuzwa kwa ushauri wako huo, hivyo ukitoa ushauri, wewe unakuwa umetimiza wajibu wako, ushauri wako usipofuatwa, hiyo sasa sio juu yako, ila unaweza kuyatumia matokeo ya kupuuzwa kwa ushauri huo kama shamba darasa ili next time ukitoa ushauri, uzingatiwe.

Kwa vile mchakato wa kuwapata wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, umetangazwa, nashauri ili taifa lipate wawakilishi wazuri na makini, tufanye mambo mawili yafuatayo
  • Kwa waliokuwa wawakilishi wetu kwenye Bunge hilo ambao wanataka kuwania kuendelea awamu ya pili, waulizwe katika uwakilishi wao, ndani ya Bunge hilo kwa miaka 5 iliyopita, wamechangia nini na wamelisaidia nini taifa?. Taarifa zao ziandamane na uthibitisho wa hansard ya Bunge hilo, ili wale waliotuwakilisha vizuri, ndie wapewe fursa ya kugombea kipindi cha pili, na wale mabubu, wakatwe, watupe pembeni. Hizi sio zama za uwakilishi wa mabubu kwenye uwakilishi wa nchi!.
  • Watu wapya waliojitokeza kutaka kutuwakilisha, kila mmoja apeleke a write up hata ya page 2, yenye kueleza ajenda za nchi anazotaka kwenda kuzipigania kwenye EALA na kupewa dakika 5 za kujieleza kwa lugha ya Kiingereza safi kilicho nyooka!. Moja ya sababu za baadhi ya wawakilishi wetu kuwa mabubu kwenye mijadala ya kuchangia hoja za Bunge la EALA, ni Lugha.
Maadam mimi mwandishi wenu wa makala hizi za kwa Maslahi ya Taifa, nina jinasibu kuwa ni Mzalendo, nina uwezo, yaani ability na niko capable, kwa maana ya capability, kuna siku nitauzungumzia uzalendo, uwezo wangu wa ability na capability but not now, nisije tafsiriwa kuwa ni kujipigia Debe, kwasababu humo ndani ya utitiri huo, nami nimo!.

Unaionaje ushauri huu?.

Karibuni.

Paskali.
Umeanza kujihami sasa

Pambana kwa kila njia
 
Kuna msemo usemao, Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.

Hao wenye moyo ni wazalendo wa kweli wa nchi yetu.

Tangu baada ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, amekufa na Azimio lake la Arusha lililoweka miiko ya uongozi, sifa ya uongozi wa umma enzi za Mwalimu ilikuwa ni uzalendo wa mtu kwa taifa lake na kujitoa kwake kutumikia jamii, Lakini sasa sifa kuu ya uongozi ni kiwango cha ukwasi mtu alionacho na kiasi gani anaweza kugawa kwa wajumbe na kukichangia chama!. Hivyo ili kumpima mtu kiwango cha ukwasi wake, baadhi ya vyama vimeweka viwango vya juu vya fedha za kujaza fomu kuanzia milioni 1 hadi milioni 5 kwa baadhi ya nafasi, ila kama wewe ni hohehahe mwenzagu na mimi, huna kitu!, pita mbali kabisa na uongozi wa umma!.

Kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Eala, nimeshuhudia utitiri wa wagombea zaidi ya 100 Kuwania nafasi 9 za uwakilishi!.

Hivyo mimi kama Mtanzania Mzalendo, Natoa mchango wangu kuhamasisha uzalendo, kwa chama changu, na nchi yangu, Kwa swali moja muhimu, jee turudishe mtindo wa kuwatafuta wazalendo wa kweli wa Nchi hii, ndio wateuliwe kwenye uongozi wa umma hata kama hawana kitu, au tuendelee kuwateua wenye kitu ndio watuwakilishe hata kama hawana uwezo?.

Bandiko hili ni Bandiko elimishi la kukikumbusha chama changu CCM kututeulia watu wenye uzalendo wa kweli, kipimo cha Uzalendo wa kweli, ni mapenzi ya kweli na ya dhati kuitumikia nchi yako na Ikibidi, kuutoa uhai wako kuifia nchi yako!. Ukiona jina la mtu yoyote, anataka uongozi wa umma, kabla hata hatujajua uwezo wake, swali letu la kwanza liwe ni Jee mtu huyu ni Mzalendo wa kweli wa taifa hili?. Uzalendo wake ni upi?. Ndipo tuje kwenye jee ana sifa na vigezo?, na la mwisho ni liwe, jee ana uwezo?. Huu uwezo unapimwa kwa ameishawahi kufanya nini?.

Mtu akitaka uongozi wa umma, afanyiwe kwanza uzalendo test, akipita ndio atauliwe hata kama hana fedha na akifeli atoswe hata kama ana ukwasi mkubwa!. kuu ni kukidhi sifa na vigezo, na kwa upande wa elimu ni mtu kujua kusoma na kuandika, lakini kwenye ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, wabunge wale ni wawakilishi wa nchi na sio wawakilishi wa watu, hivyo wawakilishi wetu, ni lazima wawe na sifa za ziada za kwenda kuwakilisha nchi na sio tunapeleka baadhi ya wabunge mabubu, ambao michango yao haionekani kwenye hansard zozote za Bunge hilo, wakati baadhi ya majirani zetu, wanatamba kwenye bunge hilo, utadhani Watanzania, hatuna wawakilishi!.

Nikijotolea tena mfano mimi mwenyewe, katika miaka yangu 30 ya uandishi wa habari, kuna mengi niliandika, niliotangaza, na nilioshauri, yamelisaidia taifa langu, naomba kwa sasa niyasitaje wala kuyaorodhesha, nisije nikaonekana najifagilia.

Katika miaka yangu 30 ya uandishi wa habari as nobody, kuna mengi nimeshauri, yalifuatwa yamesaidia, yaliyopuuzwa matokeo tunayajua, hivyo kila kunapotokea ushauri mzuri wa kusaidia na ukapuuzwa na matokeo ya kupuuzwa huko ni majanga, na kuishia kuumia, sasa nimefikia uamuzi wa kuendelea kuumia basi!, nimeamua kujitosa ila kusaidia.

Sasa baada ya miaka 30 ya uandishi wa habari as nobody na kupuuzwa, nilijitolea kusaidia mambo mengi as nobody na mengine yakapuuzwa na kuleta majanga. Sasa kumetokea fursa ya kuwa somebody, nimejitathmini na kujiona, kwa sasa mimi kama mwanasheria, na wakili, kuna mahali nitaweza kulisaidia sana taifa langu, kuliko hata kwenye sekta ya habari.

Hatua ya kwanza ni kubadili status ya kutoka kuwa nobody na kuwa somebody, hivyo nitakuwa na uwezo mkubwa kubisha hodi na kuingia popote kushauri, ikiwemo kumsaidia Rais wa JMT, ambako ni kulisaidia taifa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT anaweza kushauriwa vyovyote na yeyote, lakini kwenye kufikia maamuzi, rais atafikia maamuzi, yeye kama yeye, na sio lazima, apokee ushauri wa yeyote.

Ukijitolea kumshauri rais wa JMT jambo lolote, katika ushauri huo, weka na matokeo ya kupuuzwa kwa ushauri wako huo, hivyo ukitoa ushauri, wewe unakuwa umetimiza wajibu wako, ushauri wako usipofuatwa, hiyo sasa sio juu yako, ila unaweza kuyatumia matokeo ya kupuuzwa kwa ushauri huo kama shamba darasa ili next time ukitoa ushauri, uzingatiwe.

Kwa vile mchakato wa kuwapata wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, umetangazwa, nashauri ili taifa lipate wawakilishi wazuri na makini, tufanye mambo mawili yafuatayo
  • Kwa waliokuwa wawakilishi wetu kwenye Bunge hilo ambao wanataka kuwania kuendelea awamu ya pili, waulizwe katika uwakilishi wao, ndani ya Bunge hilo kwa miaka 5 iliyopita, wamechangia nini na wamelisaidia nini taifa?. Taarifa zao ziandamane na uthibitisho wa hansard ya Bunge hilo, ili wale waliotuwakilisha vizuri, ndie wapewe fursa ya kugombea kipindi cha pili, na wale mabubu, wakatwe, watupe pembeni. Hizi sio zama za uwakilishi wa mabubu kwenye uwakilishi wa nchi!.
  • Watu wapya waliojitokeza kutaka kutuwakilisha, kila mmoja apeleke a write up hata ya page 2, yenye kueleza ajenda za nchi anazotaka kwenda kuzipigania kwenye EALA na kupewa dakika 5 za kujieleza kwa lugha ya Kiingereza safi kilicho nyooka!. Moja ya sababu za baadhi ya wawakilishi wetu kuwa mabubu kwenye mijadala ya kuchangia hoja za Bunge la EALA, ni Lugha.
Maadam mimi mwandishi wenu wa makala hizi za kwa Maslahi ya Taifa, nina jinasibu kuwa ni Mzalendo, nina uwezo, yaani ability na niko capable, kwa maana ya capability, kuna siku nitauzungumzia uzalendo, uwezo wangu wa ability na capability but not now, nisije tafsiriwa kuwa ni kujipigia Debe, kwasababu humo ndani ya utitiri huo, nami nimo!.

Unaionaje ushauri huu?.

Karibuni.

Paskali.
Kwa Nini umetoa wito kwa ccm pekee wakili mwandishi!!!
 
Back
Top Bottom