Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
2020 mwaka mbaya mwaka mzuri
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maprofesa wenyewe ndo hao kina Kabudu wa jalalani??Prof. hawezi kosea kujaza fomu. Bonny anaweweseka!
Mwenye mamlaka ya kutangaza mtu aliyepita bila ya kupigwa si mkurugenzi ni NEC tu . Sasa taarifa za kusema mkurugenzi kasema mtu kapita bila ya kupigwa ni ujinga tu sheria inamtambua mkurugenzi kuwa ni msimamisi wa uchaguzi kwa niaba ya NEC na mtangaza matokeo ya ngazi ya udiwani na ubunge kwa niaba ya NEC kwa taarifa nilizonazo ni kuwa uchaguzi badoMbona nyie wakurugenzi wenu wamewapitisha wagombea wenu kuwa washindi?Hilo hulioni?baadhi ya majimbo mnajinasibu kupita bila kupingwa au Makuke kwa nguruwe? Muosha huoshwa tulieni dawa iwaingie
Hili swali Ukijibiwa vizuri pia nitakuwa nimepata jibu fulani maana kuna mtu leo katupia WhatsApp fomu ya Mgombea iliyokosewa.Na aliyetupia sio mgombea sasa cha kujiuliza kajuaje?Ila kajuaje kama kakosea? Aliiona wapi form ya huyu prof wa sociology ?
Nimeshapata jibu.Form zinabandikwa kumbe.Hili swali Ukijibiwa vizuri pia nitakuwa nimepata jibu fulani maana kuna mtu leo katupia WhatsApp fomu ya Mgombea iliyokosewa.Na aliyetupia sio mgombea sasa cha kujiuliza kajuaje?
Wangari Maathai njoo huku faster, Leo yaaani Leo! Hahaha navunjika mbavu huku. Ccm wapoleeeeee utadhani wanabatizwa ubatizo wa moto
Hahahahahaha aisee we jamaa, unampigaje mwenzako puaniMaprofesa wenyewe ndo hao kina Kabudu wa jalalani??
Nitafanya doctorate yangu mwakani niishie hapo hapo, uprofesa ubaki kwa wenye macho makubwa