Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi

Status
Not open for further replies.
Kwako hiyo ni weaakness lakini cha kushangaza sana ya double standard huioni! Unapost gazeti unaloona lina habari yenye kuichafua CHADEMA zaidi unaacha hilo lingine kisha unakuja kujitetea kwamba ilitaka kupost baadae.Na hii ndiyo double standard unaposema Dr.Slaa kawaingiza wake za marehemu kwenye siasa ukijua wao ndio waliojileta kwenye siasa tena mwingine kaja kwa nia mbaya,KUICHAFUA NA KIHUJUMU CHADEMA na bado unaniuliza ni kuonyeshe hizo double standard.ya nini kupoteza muda mwingi hivi ikijitetea kama hutaki kuheshimiwa? Yaani una-type kujisafisha halafu unasema hutaki kuheshimiwa?

Pili,Hapo nilikobold, naomba usinipangie cha kujadili.Nani kakwambia nina muda wa kulijadili hilo?
 

Unaruka ruka huku na huku. Mimi nimekuambia siamini kuna watu wananiabudu na wala sitaki watu waniabudu. Pia sitaki watu waheshimu mawazo yangu maana hiyo ni weakness kubwa mno kuheshimu mawazo ya mtu. Utafikiri wale wa zidumu fikra za Mwenyekiti. Hakuna mtu mwenye yeyote hapa duaniani ambaye mawazo yake yote ni sahihi

Watu tunachofanya ni kukubaliana/kupingana na kilichoandikwa/hoja na sio kuheshimu mawazo ya mtu. Kama kuna watu unaheshimu mawazo yao, bado wewe ni very weak kwenye hoja, kifupi ni kwamba unawaabudu hao watu.

Binfsi sitaki kuabudiwa na mtu yeyeote kwahiyo hilo wazo la kwamba ulikuwa unaheshimu mawazo yangu lifute. Halinisaidii mimi kwenye nyanja hii ya kupambana kwa hoja.

Pia hii ya kukimbilia kila kitu kabla hata hujajua kusema ni cha mafisadi ni weakness nyingine. Usitoe judgement mpaka una data zote. Hapo inaelekea hata hukujua hiyo habari nimeitoa wapi na kwanini nimepost, wewe tayari umejenga conclusion yako. Hizo tunaita hoja za uyoga, unajenga conclusion kwa foundation mbovu. Ndio maana unaishia kuheshimu mawazo ya watu wengine kwi kwi kwi!!
 

Hivi unaelewa maana ya double standards? Pitia hata Wikipendia ujifunze. Ulichoandika hapo juu hata kama kila kitu kingelikuwa kweli bado sio double standard. Inaweza kuwa ni bias lakini sio double standard. hayo maneno mawili ni tofauti.
 
Hivi unaelewa maana ya double standards? Pitia hata Wikipendia ujifunze. Ulichoandika hapo juu hata kama kila kitu kingelikuwa kweli bado sio double standard. Inaweza kuwa ni bias lakini sio double standard. hayo maneno mawili ni tofauti.


Kazi kukimbilia wikipedia tu,ndiyo maana hoja zimedumaa na unakosea mpaka unafikia hatua ya kufikiria kunaweza kuwa na watu wa kukuabudu hapa.Umekosea sana.Nenda Dar hotwire mkuu.
 


acha kujizungumzia wewe tu,maanke nimegundua wewe ni mtu wakutaka attention kutoka kwa watu.Mkuu tuache tuendelee na mjadala maanke wewe ni mtaka attention for nothing! kama hutaki heshima si ungeignore niliyopost,check unavyo-sweat kujisafisha.kwi kwi kwi,mkulima kala mbegu,anatka kutuua njaa.Hebu tupishe tuendelee na mjadala mkuu.

Please tuondolee kiwingu sasa!
 
halahala vodple na macho ndugu zanguni. Mkumbuke kuwa katikati ya siasa hizi za wajane wa wangwe, kuna ugomvi wa asili baina ya wanawake hao tangu wangwe akiwa hai. Uhasama wao sasa unazidishwa na matukio na msiba huu. Na bado yatakuja mengi, subirini tu kwenye masuala ya mirathi, mtaona watakavyolumbana
 
Kazi kukimbilia wikipedia tu,ndiyo maana hoja zimedumaa na unakosea mpaka unafikia hatua ya kufikiria kunaweza kuwa na watu wa kukuabudu hapa.Umekosea sana.Nenda Dar hotwire mkuu.

Sasa hoja zilizodumaa ndio ulikuwa unaziheshimu? kwi kwi kwi!! kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Sawa mkuu nakubali kutokukubaliana na wewe na nimemaliza kwenye huu mjadala, wacha nihangaike na mengine maana mijadala mingine haijengi tija tena, siku njema.
 

Wakuu, Mtanzania na Ben, muko zaidi ya hapo mlipo, tusaidieni badala ya kutupotosha. Tunawategemea sana humu JF hivyo musipoteze muda na uwezo wenu kwa mambo yanayochelewesha mijadala muhimu. Nchi iko njia panda.
 

The most lame excuse one can ever give. Kama kweli Dr. Slaa aliamua kudharau hiyo 40 kwa vile hamjui huyo Mariam, vipi adharau hata uwepo wa Prof. Wangwe?

"Mimi namshauri Mariam akutane na wazee wamshauri kwanza badala ya kukurupuka na kutoa maneno ya kukipaka matope chama. Yeye anataka athaminiwe, atathaminiwaje kama yeye Mariam hataki kukithamini chama," alihoji.

Hivi hili ni onyo, vitisho au ndio utaratibu kuwa msaada kwa wajane utategemea na jinsi watakavyojipendekeza kwa viongozi wa CHADEMA?



Dr. Slaa, nakushauri kama umekosea jambo usiliongelee maana unapofungua kinywa unazidisha kuboronga.
 


Kama unachelewa namna hii kuelewa basi huko mbele taifa lina kazi.Unajua nilishikwa na mshangao wa mwaka kwamba muda woote huu bado huelewi?

Kaazi kweli kweli,ila mkuu kesho ulete gazeti lingine lakini uache kuwa biased.Pleaseee! Haya sasa tujenge taifa tuendelee na mjadala.Kwi kwi kwi!
 
Wakuu, Mtanzania na Ben, muko zaidi ya hapo mlipo, tusaidieni badala ya kutupotosha. Tunawategemea sana humu JF hivyo musipoteze muda na uwezo wenu kwa mambo yanayochelewesha mijadala muhimu. Nchi iko njia panda.


Mkuu,

Tafadhali onyesha nilikopotosha umma.otherwise wewe ndiye unaepotosha umma kwa kutaka kuwafanya waamini mimi ni mpotoshaji huku ukijua si kweli.Please buddy,come on and help me on this!

Anyway,niendelee na mjadala!

Btw: Hivi mkuu Kubwajinga,ulitegemea Dr.Slaa ake kimya eti kwa sababu mtu ni mjane yuko kwenye majonzi na anakichafua Chama? Huyo mwanamke angekua na majonzi ya kweli asingepata nguvu za kukubali kutumika kisiasa kukichafua chama.Ukitaka kuonewa huruma kwanza jihurumie,that's all!

Kweli wengi hamna nia njema na CHADEMA,yaani mkuu unataka Slaa akae kimya huku chama kikiburuzwa kwenye sewage? Wakuu mtasubiri sana,na CHADEMA walishaapa kupambana na wale wote wanaotumia kifo cha Wangwe kukipaka matope.
 

Source plz!

Kuna kumtambua mke kwa sura na kumtambua mtu kwa nyaraka. Jamani kwenye viongozi wa CHADEMA mtuambie, kwenye nyaraka alizoandisha Chacha Wangwe bungeni na makao makuu ya chama chake, aliandika wake watatu au aliwataja tu wale wake wawili wa kwanza na kumuacha Mariam Wangu?

Asha
 

Wakuu sorry,

Source Mwananchi
 

Kubwa Jinga Jinga umeanza tena!

Kwani nani alikwambia ni utaratibu kwa wajane kujitokeza hata miezi miwili haijapita kuanza kulia lia kuwa chama kimawatelekeza?

Ni utaratibu wa wajane kujitokeza kuanza kusema chama cha siasa kimeua mume halafu hapo hapo kukilalamikia chama hicho hicho kuwa hakilei watoto?

Halafu mbona huyu mke mwenza wetu hazungumzii kuhusu wake wenzake?

Jamani Mariam Wangu wasemee na wengine basi halafu badala ya kulilia mali tu lilia CHADEMA iwasomeshe watoto. Hasa mtoto wako wa mwaka mmoja, maana watoto wa wake wenzako wameshakuwa wakubwa kiasi

Asha
 


I am sory kama nimekukwaza, ila sijasema umepotosha nimesema unechelewesha mijadala muhimu. Thanks kwa kuendelea na mjadala vyema.
 
Dada hebu shika usukani,wacha nikale nondoz.Mkuu kuna watu hapa nia yao ni moja tu kuona CHADEMA ikichafuliwa mbele umma.By,the way latest news kutoka Tarime zinasemaje? Please mlioko huko tafadhali tuwekeeni picha za mikutano ya kampeni.


Mafisadi watakua wameshikwa pabaya sana,Revolution forever,kwa kutumia Nguvu ya Umma.
 
I am sory kama nimekukwaza, ila sijasema umepotosha nimesema unechelewesha mijadala muhimu. Thanks kwa kuendelea na mjadala vyema.

Mkuu,

Umesema kwenye post yako hapo juu.Hebu isome tena .Hata hivyo asante kwa uungwana.tukate ishuz mkuu.Heshima nawe!
 
Kubwa Jinga Jinga umeanza tena!

Kwani nani alikwambia ni utaratibu kwa wajane kujitokeza hata miezi miwili haijapita kuanza kulia lia kuwa chama kimawatelekeza?

Asha

Asha,
Kwani kuna muda gani uliowekwa kwa familia kujisikia kuwa wametelekezwa ndio walalamike? Mbona majibu ya chama yanafuatana na vitisho?
 

Latest!

Komba leo kafukuza wananchi kwenye mkutano wake. Alikuwa anaimba nyimbo za TOT wanawake wakaanza kupigiwa mayowe kama ya msiba. Akaacha kuimba akauliza wangapi watapigia kura CCM, halaiki ikanyoosha vidole viwili juu ile V-ishara ya vema na ushindi ya CHADEMA. Komba akachukia akasema sasa kama nyie ni CHADEMA mnakuja kufanya nini kwenye mkutano? Hebu ondokeni haraka sana tuacheni wenyewe

Asha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…