Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi

Status
Not open for further replies.
Kwanza polisi walikua wapi muda huo? wakileta uonevu tu,sisi na wao.to hell with them!

Ben,

Heshima yako mkuu.
Polisi it is very obvious wamo mikononi mwa mtu.Kuna jamaa kauliza swali hapo juu,polisi walikua wapi mafisadi yalipokua yanaiba fweza BOT?Nchi imeuziwa wahindi na waarabu huku watanganyika hawana chao.Anapotokea mtu anayehamasisha mawazo ya watu, wanasema eti anachochea vurugu ...iiiisssshhhh!!!

Ninavyomfahamu Zitto mie, I just can't see him burning T-shirts.Yaani
hii sijui ni wapi kwa wapi.
 
Tawire mkuu mwerevu wewe na Chadema yako.....



Masatu mkuu umekuwaje siku hizi mkuu ? Au kuna mtu kaiba password yako ? Masatu wa JF ambaye tumekuwa tunabishana kwa hoja hapa ni wewe ?
 
Masatu mkuu umekuwaje siku hizi mkuu ? Au kuna mtu kaiba password yako ? Masatu wa JF ambaye tumekuwa tunabishana kwa hoja hapa ni wewe ?

Lunyungu,

Mwenyewe umeona hapa jinsi watu wanavyokuja na matusi badala ya hoja. Naona mkuu Masatu ameamua kula nao sahani moja.

Wengine hatuamini hizo sera za jino kwa jino, kwahiyo wache watukane wanavyotaka lakini
siwezi kuacha kuchangia na wala sitajiingiza kwenye hayo matusi.
 
Masatu mkuu umekuwaje siku hizi mkuu ? Au kuna mtu kaiba password yako ? Masatu wa JF ambaye tumekuwa tunabishana kwa hoja hapa ni wewe ?

Unajaribu kukimbia kivuli chako?
 
Last edited:
Jamani, lililoandika ni Alasiri, si tunalifahamu vizuri gazeti hili. People should not be carried away

Lisemwalo lipo kama halipo laja, Tarime hali si shwali mimi mwenyewe nataka kukimbia mji huu
 
Ngoja na sisi familia ya KOLIMBA tujikusanye na twende kwenye vyombo vya habari kudai TUME HURU ya kuchunguza utata wa kifo cha baba yetu dhidi ya wauwaji CCM

Mtimti
Kutumia maneno kudai kujua kifo cha Kolimba , mtoto wa Malecela,na Waziri wanawake, Balali ni uhuni na uvunjifu wa amani na uchochezi .Serikali ya CCM haitavumilia hili ila wanao ongelea habari ya Chacha Wangwe wana haki kabisa si uvunjifu wa amani .
 
I would like to afford MP Zitto the benefit of doubt and a chance to put his story straight to the people through JF.

The story rings rather politically motivated.

....remember, politics is the art of getting someone else to do something you want done because he wants to do it.
Anyway like you said Pundit,lets hear his verdict on the matter cause Zitto better keep himself clean and bright,he is so far the window through which Tz.must see the '2010'.
 
Unaweza kusema sababu ya kukufanya ukimbie ?
Nakimbia ili nisije nikajikuta kwenye ushabiki wa kisiasa maana sipendi siasa.
Si shwari kivipi ?Sikiliza redio au soma gazeti Tanzania daima lenye kichwa cha habari kuwa tarime yachafuka


Unalingine?
 
Mimi naomba Serikari iwe makini sana tena sana na huu uchaguzi mdogo wa Tarime,
ni hilo tu!
 
Masatu Wasira tangia umekuwa kwenye payrol ya Rostam naona hata kufikiri kidogo huwezi, get into your nerves bro....

Siku hizi JF tumekuwa wapiga ramli, yaani mtu unaweza kutoa tuhuma kubwa kiasi hicho dhidi ya mwanachama mwingine bila hata kujaribu kutoa ushahidi japo kidogo? Hiki ni kiwango cha chini mno!
 
Siku hizi JF tumekuwa wapiga ramli, yaani mtu unaweza kutoa tuhuma kubwa kiasi hicho dhidi ya mwanachama mwingine bila hata kujaribu kutoa ushahidi japo kidogo? Hiki ni kiwango cha chini mno!

Mkuu Mtanzania mbona unakimbilia huko kabla mtoa hoja hajaja aseme ukweli upi alio nao juu ya mtuhumiwa kuwa katika payroll .Hebe nikubaliane nawe kwamba tuhuma za Payroll ni kubwa mtoa tuhuma atusaidie .Lakini muda wote huwa nawaomba wana jamii kwamba tujikite zaidi katika mada husika badala ya kuja na vijimambo kila mara tuna acha mwelekeo wa hoja hasa.
 
Hivi hao mafisadi bado wanangomba nini huko!!

Ndugu zangu wana Tarime munamwagiana pilipili na kutunguana mawe bure tena ninyi kwa ninyi .Hao wote hawatatetea maslahi yenu atakaye pata hilo jimbo CCM ama CHADEMA watarudi zao DSM na kula posho huko huko na watarudi tena 2010.Wasiwadanganye kitu Hakuna mtetezi hapo.

Tena ni bora mmepa yeyote bila kupigana ninyi kwa ninyi maana hayo majereha mtayotiana baada ya tarehe 12 mtabaki na majonzi yenu na mtayaganga ninyi wenyewe wakati wao wakipata kuku kwa mrija DAR.
 
Hivi ni kosa mtu kuchoma moto shati au kaptula yake kama anaona inamuudhi??

Mwisho watatupangia siku za kuvaa na kufua nguo zetu.

Je nikiamua kumpelekea fundi cherehani ili kuibadili Tshirt ya CCM kuwa Chupi ni kosa vilevile?

Ukitoa zawadi, wewe mtoa wa zawadi una mamlaka juu ya zawadi hiyo? Mamlaka hiyo itakuwepo kwa muda gani?

Nyie CCM, Ubongo hauna Msuli. Acheni kuwaza kwa kutumia misuli.
 
Siku hizi JF tumekuwa wapiga ramli, yaani mtu unaweza kutoa tuhuma kubwa kiasi hicho dhidi ya mwanachama mwingine bila hata kujaribu kutoa ushahidi japo kidogo? Hiki ni kiwango cha chini mno!

Mkulu we niachie hawa vichwa maji najua lugha ya kuongea nao wewe utaumia kichwa....
 
Hivi nakumbuka kuna wale jamaa waliochoma bendera ya CCM kule Iringa na walikuwa wana CCM vile vile... or what happened to them
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…