baadhi Ya Ramani Za Madini Tarime Nina Attach Hapa
Gustaza Mimi Niko Njiani Kuja Tarime Kama Una Muda Na Uko Mara Tafadhali Tuonana Jumatano Asb Nitakuwa Tarime Usikose Nitakutumia Namba Yangu Ya Simu Au Naomba Kuwasiliana Na Hao Watu Wa Mtandao Wako Tubadilishane Nao Mawazo Nikiwa Huko Mara Tafadhali
Jioni Njema
Isaymwita, kwani wewe naye ni Mtarime? Kama jibu ni ndiyo, kweli kazi mnayo! You know, hiyo cyanide inayoongelewa hapo is a very highly toxic chemical. Kuna documentary moja inaitwa "The New Gold Rush in the USA" ukipata chance itafute ndo utajua ubaya wa hiyo chemical.
In short, Toxicological studies (ATSDR, 1993) have indicated that hort-term exposure to high levels of cyanide can harm the nervous, respiratory and cardiovascular systems of animals/humans.
Plus huo mto Mara si unamwaga maji Ziwa Victoria? Hao Sato na sangara inabidi mu-waepuke kabisa!
Gustaza Mimi Niko Njiani Kuja Tarime Kama Una Muda Na Uko Mara Tafadhali Tuonana Jumatano Asb Nitakuwa Tarime Usikose Nitakutumia Namba Yangu Ya Simu Au Naomba Kuwasiliana Na Hao Watu Wa Mtandao Wako Tubadilishane Nao Mawazo Nikiwa Huko Mara Tafadhali
Jioni Njema
Cyanide is a silent killer chemical! Sato na sangara zinalika kila sehemu ya tz. Watz twafaaaaaaaaaaa!!!!!
The use and disposal of cyanide solutions used to dissolve and extract gold is another environmental concern. Cyanide is a well known poison; hydrogen cyanide is acutely toxic to humans and, in its gaseous state, can be fatal at exposure levels of 100 to 300 parts per million (ppm). Cyanide is likewise harmful to wildlife such as mammals, birds, and fish which can have acute toxicity reactions to even low cyanide exposures.
The most significant risk from use of cyanide solutions in gold mining is possible leaching into soil and groundwater. There exists the potential for catastrophic cyanide spills that could inundate an ecosystem with toxic levels of cyanide. In 2000, heavy rain, ice, and snow caused a breach in a tailings dam (tailings are the cyanide-treated ore wastes, from which gold has been removed) at a gold mine in Baia Mare, Romania resulting in the release of 100,000 cubic meters of cyanide-rich waste into the surrounding watershed. Drinking water supplies were cut off for 2.5 million people and nearly all of the fish in the surrounding waters were killed.
Duh!
Lakini Wajomba zangu mbona madai mengi ya Tarime yanafanana sana na yale ya Zanzibar?... iweje muwe na haki ktk madai yenu lakini inapofika swala la Zanzibar nyie nyote mnakuwa upande wa serikali ya CCM.....
Gustanza_THE,
Mkuu ebu ipe madai ya Zanzibar kama ulivyoorodhesha ya Tarime.. jaribu kutoandika Uroho wa madaraka kwa sabau hata mimi naweza kuona kinachogombewa Tarime ni uroho wa madaraka. Lazima kutakuwa na mtu anayesukuma hoja hizi na yeye atakuwa na mamlaka makubwa na kile kinachopatikana kutokana na madini..
Nijuavyo mimi Ugonvi mkubwa wa bara na visiwani ni Ulaji na ndico nachokiona hapa. Binafsi siamini kabisa ktk ku singe out problems za sehemu moja kwa manufaa ya sehemu moja hali nchi nzima ina problem hiyo hiyo?..
Kwa nini Ujumbe wa muswada huu usiwe una cover Tanzania nzima ili ipitishwe sheria kwa ajili ya wananchi wote na sio Wa Tarime..
Mkandara, the thing is, sehemu zingine za Tanzania hazi-face unyonywaji, uonevu, na pia haziko ktk risk ya kupatwa na kinachowasubiri watu wa Tarime mara tu hao wazungu watakapokuwa wamemaliza kukomba hizo gold zao na kuanza. Kwahiyo, sioni umuhimu wa kufanya issue ya Trime iwe applicable kwa watu wa chalinze, Mlandizi ama Kinyerezi.
What?.. mkuu hivi kweli unazungumza kwa uhakika ama unajaribu kutazama upande wako wa shilingi?..duh! umeniacha hoi..
Umesahau maswala ya Bulyanhuru, Songo, Mwadui, Ruvuma, Arusha kote kuna madini hivi sasa Morogoro yamepatikana mawe ya Rubis.. Misitu yetu inakatwa kila kona ya nchi, samaki ziwa Victoria hao sangara wanawanufaisha vipi wananchi?...
Wananchi wanahamishwa kila sehemu halafu wewe unasema Tarime?.. mbona haya yamewakuta majuzi tu mkuu yaani mkoa wa Marra ni nyumbani nilikokulia.
Kwa taarifa yako mkuu nilikuwepo huko mwaka jana na nina familia yangu hapo Musoma - The Kigera's na Kitundu..
Mkandara, the thing is, sehemu zingine za Tanzania hazi-face unyonyaji, uonevu ambao watu wa Tarime wana face, na pia haziko ktk risk ya kupatwa na kinachowasubiri watu wa Tarime mara tu hao wazungu watakapokuwa wamemaliza kukomba hizo gold zao na kuanza (matatizo ya kiafya yatakayoyokana na uharibifu mkubwa wa mazingira unaoendela huko Nyamongo,Tarime). Kwahiyo, sioni umuhimu wa kufanya issue ya Tarime iwe applicable kwa watu wa chalinze, Mlandizi ama Kinyerezi.
Umesahau maswala ya Bulyanhuru, Songo, Mwadui, Ruvuma, Arusha kote kuna madini hivi sasa Morogoro yamepatikana mawe ya Rubis.. Misitu yetu inakatwa kila kona ya nchi, samaki ziwa Victoria hao sangara wanawanufaisha vipi wananchi?
Basi mkuu kam kweli umeona wananchi wa sehemu nyingenezo wamelala isipokuwa Wakurya, wakati wananchi wa sehemu hizo wamekufa kwa mamia wakililia haki hizo hizo unazozitaka then sioni sababu kabisa ya kulipeleka swala hili serikalini.
Hao wajumbe wa wilaya yenu wanaweza kabisa ku solve tatizo hili...Kwa sababu matatizo yenu hayawahusu watu wa Chalinze wala Msalala why bring to the table hali haiwahusu...
Kama kweli hii ndio presentation yenyewe mkuu mtatoka watupu hakuna hekima hata kidogo. Mnachokifanya nyie ni marudio ya sehemu nyingi sana na makosa makuybwa sana.