Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
- Thread starter
-
- #1,601
Mkuu,
Forum yenu ina thread iliyoanzishwa na moderator wenu inayosema
"Chadema yaibwaga CCM Tarime, yachukua Ubunge, Udiwani!"
Sasa hapo huwezi kusema yako wewe macho. Nyinyi ndio mmeitangazia dunia matokeo.
bado official leo lazima wanioteshe kibarua hawa watu nashindwa ku Do work
FP taarifa 2lizoleta jana usiku siyo batili.Hesabu ndivyo zilivyo kwa kuwa mahesabu yameshafanywa.
Kilichobaki ni kuyaabariki matokeo kwa kuyarasimisha tu.Hofu ya wanatarime kwasasa ni kuwa mara zote matokeo yanapocheleweshwa kutangazwa huwa kuna miundombinu flani.
Hata hivyo hali haitabadilika na wala hatukukosea kutoa taarifa mapema.Hii ndiyo JF Bwana!Habari zinaanzia nyumbani ati
Oh, kumbe ni heading tu... I have to change it!Mkuu,
Tovuti yenu ina thread iliyoanzishwa na moderator wenu inayosema
"Chadema yaibwaga CCM Tarime, yachukua Ubunge, Udiwani!"
Sasa hapo huwezi kusema wewe yako macho. Nyinyi ndio mmeitangazia dunia matokeo.
Lirudi vipi na wapiga kura wakikataa je?Taarifa nilizonazo muungwana Mbeya amewaambia tume ya uchaguzi kifanyike kinachowekana jimbo lilirudi CCM stay tuned....
Oh, kumbe ni heading tu... I have to change it!
Kwa maelezo niliyotoa jana niliwafahamisha kuwa CHADEMA wameshinda Udiwani (confirmed) na nikawafahamisha kuwa Ubunge bado ni kitendawili... Matokeo ya Ubunge hayajatangazwa!
Wapinzani watu wa ajabu sana. Wanaanza mambo ya Zanzibar 1995..
Kazi ya kutangaza matokeo ni ya TUME sasa sijui kwanini mnatangaza wakati TAARIFA RASMI BADO.
Naona mnataka kuanza kulalamika mmeonewa hali ikiwa tofauti
Currently Active Users Viewing This Thread: 256 (85 members and 171 guests)
fidel80, allse, Bavuvi, Bazobonankira, bint, Bubu Msemaovyo, EDDOH, EXECUTIVE, FairPlayer, Fatuma, First Lady, Franc, Francis the King, Gashle, Hamad Yussuf, IDIMI, Interested Observer, jacobae, Jeni, Jibaba Bonge, kashaija, kilbark, kimambo, kipanga, kizimkazimkuu, Kubwajinga, kudi shauri, Ladslaus Modest, LIGHONDI, lione, Lunyungu, Lusajo, LUSYONJA, macinkus, Magehema, malila, mamaparoko, Maverick, Mbalamwezi, mchana, mfwatiliaji, Mkaguzi, mkamap, Mlalahoi, Mndundu, Mr. Zero, Mtu Kwao, Mutu, mwakyj, mwalimuzawadi, mwanakwetu, mwananchit, Mwanangurumo, mwikimbi, mzee wa gumzo, Mzozo wa Mizozo, NDANDA TO LOMWE, nesindiso sir, njilembera, Njimba Nsalilwe, ntaramuka, Pasco, paullih, phillemon mikael, PJ, Rainbow, Realist, remyshas, Silencer, tauphiq, THADEUS, tishekwavb, Tom, Tshala, Tuandamane, vkitina, Wakuja, wembemkali, WildCard, Willy, Yo Yo, Zion Train
Lirudi vipi na wapiga kura wakikataa je?
Nipo Jf nabonyeza F5 tu
Mpaka sasa kuna goli la utata ndio linasubiliwa maamuzi yake toka FIFA.Naomba details jamani nani kashinda na nani kashindwa?
Taarifa nilizonazo muungwana Mbeya amewaambia tume ya uchaguzi kifanyike kinachowekana jimbo lilirudi CCM stay tuned....[/QUOTE
Chanzo cha taarifa zako? Kwa ninavyoelewa, haya ni mawasiliano ya ndani na nyeti, si rahisi sana kwa kujulikana kwa tulio wengi! Ina maana haya maagizo muungwana kayatoa kwa njia ya redia ama?
Huu si uzushi kweli?
Jamani tuende polepole na mambo haya!
Taarifa nilizonazo muungwana Mbeya amewaambia tume ya uchaguzi kifanyike kinachowekana jimbo lilirudi CCM stay tuned....[/QUOTE
Chanzo cha taarifa zako? Kwa ninavyoelewa, haya ni mawasiliano ya ndani na nyeti, si rahisi sana kwa kujulikana kwa tulio wengi! Ina maana haya maagizo muungwana kayatoa kwa njia ya redia ama?
Huu si uzushi kweli?
Jamani tuende polepole na mambo haya!
Mkuu nimekushika pabaya? Pole sana
Hengera sana CHADEMA! Jana nilikesha hapa kusubiria matokeo,leo nilikua na pepa lakini kimeeleweka.
Ushindi huu ni ushindi wa wapenda mabadiliko,wenye nia ya dhati na taifa letu tukufu,wachukia dhuluma,ufisadi,manyanyaso,fitina na vitisho.
Ni ushindi dhidi ya CCM na maluki wa upinzani,ni ushindi dhidi ya polisi wasio waadilifu,usalama wa taifa uliopoteza dira,tume isiokua huru ya uchaguzi,mfumo kandamizi usopenda demokrasia ya vyama vingi ishamiri na ni laana dhidi ya watumiao misiba kama kivutio cha wapiga kura,na ni ushindi dhidi ya matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi ili kuidhulumu haki na kiu ya mapinduzi.
Mungu awaponye wale waliomia na kudhalilishwa ktk mchakato huu,awaponye wenye majeraha ya Moyo na Mwili katika kusimamia kile walichoamini.Wanatarime kwa mara nyingine tena wamedhihirisha nguvu ya mabadiliko.
Ni mfano wa kuigwa katika taifa,nguvu wanazotumia polisi dhidi ya wanatarime wakati matokeo rasmi yakisubiriwa kutangazwa ni ishara nyingine ya kutokubali kushindwa.Hili jimbo lisiwe chanzo cha chuki,unyama na visasi.Hizo ni Rasha rasha kwa CCM,wasubiri nguvu kuu 2010.
Mungu Ibariki CHADEMA,wape uvumilivu wanatarime,Mungu Ibariki Tanzania