Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hali inavyoendelea inaonekana hata Mugabe alikuwa mstaarabu kidogo kwake huko wala sio CCM tena! Hii ya kupata ushindi at any cost ni sera ya kimabavu hata wakolono hawakuwa hivyo, itafika wakati wananchi watasema heri wakati wa ukoloni!
Mgombea Ubunge, Mnyika, mgombea udiwani na Dk Kapwani (kiongozi wa Chadema mkoani Iringa ambaye alishirikiana na Prof Sarungi kuhudumia majeruhi wa ajali) waliachiwa na polisi lakini mgombea ubunge kagoma hadi wote waliokamatwa watolewe na sasa karudi ndani ili wale vijana nao waandike maelezo watolewe.
Inaelezwa ni mkakati maalumu wa kuhujumu safari ya Mbowe, Zitto na Lissu ambao wanaelekea Tarime kesho.
Mh usitake kunambia tanzania na sisi tunaelekea kwenye ule uonevu wa wazi wazi wa R.Mugabe na Mwaikibaki, kama kwei basi ni balaa
Dawa yao ni hapo CCM itakapopigwa chini ndio kitakapoeleweka hapo!
Jamani huu uonevu hadi lini!jamani Serikali ya CCM mkubali kushindwa msitumie nguvu ya dola kutafuta ushindi wa lazima!Tarime hamuiwezi!
huu ndio unaitwa ushabiki sasa. Mambo yamefanywa na Polisi wewe unailaumu CCM?
FL is right on the other hand... But...?!?huu ndio unaitwa ushabiki sasa. Mambo yamefanywa na Polisi wewe unailaumu CCM?
Jeshi la polisi liko chini ya serikali inayoongozwa na chama gani?
-CHADEMA?
UDP?
CUF?
FL is right on the other hand... But...?!?
kuwa chini ya serikali inayoongozwa na CCM haina maana ni tawi la CCM. Polisi siyo jumuiya ya Chama. Keshokutwa upinzani wakichukua madaraka, polisi wataendelea kuwepo na kufanya kazi zao kwa kuongozwa na sheria zao siyo itikadi au manifesto ya chama fulani.
Wabebeshe mzigo polisi wao wenyewe usiwasingizie CCM. Kama Polisi ni wabovu ni wabovu kutokana na upolisi wao; kama wako influenced na CCM tatizo siyo CCM bali Polisi.
wanachezea hisia za watu, wanataka watu waandamane, washambulie magari ya Polisi, lile gari la kumwaga maji liwasambaratishe, "hali ichafuke" na watu wawili watatu wauawe na risasi ambazo itahitajika tume kutambua kama ni za Polisi, na by Thursday au Friday (machafuko yakifikia kilele) uchaguzi utangazwe kuahirishwa as I dokezad last week.
Kama wana hekima yoyote wangesubiri uchaguzi upite na mgombea wa CCM akipoteza kukata rufaa kupinga uchaguzi huo. Lakini sasa ni "at whatever cost".
wanachezea hisia za watu, wanataka watu waandamane, washambulie magari ya Polisi, lile gari la kumwaga maji liwasambaratishe, "hali ichafuke" na watu wawili watatu wauawe na risasi ambazo itahitajika tume kutambua kama ni za Polisi, na by Thursday au Friday (machafuko yakifikia kilele) uchaguzi utangazwe kuahirishwa as I dokezad last week.
Kama wana hekima yoyote wangesubiri uchaguzi upite na mgombea wa CCM akipoteza kukata rufaa kupinga uchaguzi huo. Lakini sasa ni "at whatever cost".
Habari kutoka tarime zinasema mji mzima ulikuwa mshikemshike huku mabomu ya machozi yakinyesha kama mvua. Polisi wametumia pia risasi za moto. Vijana wawili wemejeruhiwa, mmoja amevunjika mkono na mmoja amevunjika mgu. Bado haijajulikana kama wameumia kutokana na kupigwa risasi au ni kutokana na kimbiakimbia kuepuka vurugu.