Ubunge wa Halima Mdee na Wenzake ni Batili

Ubunge wa Halima Mdee na Wenzake ni Batili

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hivi ndivyo Gazeti la Nipashe lilivyoripoti

Screenshot_2023-12-16-00-23-20-1.png


Toa maoni yako
 
Sheria ipi? Wakati chama Chao hakiwatambui?
Katiba ya Chadema haikukaa vizuri kwa sababu imetoa madaraka makubwa ya kuwavua uanachama kwa Baraza Kuu, siyo Kamati Kuu. Muundo huo una uzuri wake ikiwa ni kuhakikisha kuwa haki inatendeka zaidi lakini pia ubaya wake ndio huu wa kuwa unachelewsha maamuzi. Kwa sasa hivi hao hawajavuliwa uanachama mpaka Baraza Kuu litoe liwasikilize na kutoa tamko.
 
Hivi ndivyo Gazeti la Nipashe lilivyoripoti

View attachment 2843678

Toa maoni yako
Huu ndio ukweli kwa mujibu wa hukumu ya mahakama, imeridhia kilichofanywa na ile CC ya Chadema kuwatimua, hivyo baada ya hukumu hii, inapaswa kina Mdee kuvuliwa ubunge kusubiria rufaa zao Baraza Kuu, ila hili halitafanyika kwasababu mahakama haijawatendea haki!. Dr. Tulia ni mtu wa haki bin haki, wataendelea na ubunge wao!, kama nilivyosema hapa CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
P
 
Gazeti eti limemuhoji mwanasheria ambaye tqngu amalize chuo anashindia mihogo na kusoma vichwa vya habqri kwenye vibanda vya magazeti unafikiri atakupa majibu yaliyo sahihi!
 
Wameamua kuitumia mahakama kusigina katiba kweli kila kitu kinawezekana walioapa kulinda katiba ndio wanaoisigina dah.
Mkuu, ni kweli kila kitu kinawezekana hapa Tanzania, hata kiwe cha hovyo namna gani, bila ya aibu yoyote kitatendwa na wavaa suti.
 
Katiba ya Chadema haikukaa vizuri kwa sababu imetoa madaraka makubwa ya kuwavua uanachama kwa Baraza Kuu, siyo Kamati Kuu. Muundo huo una uzuri wake ikiwa ni kuhakikisha kuwa haki inatendeka zaidi lakini pia ubaya wake ndio huu wa kuwa unachelewsha maamuzi. Kwa sasa hivi hao hawajavuliwa uanachama mpaka Baraza Kuu litoe liwasikilize na kutoa tamko.

Sasa walikata rufaa ya Nini Kama bado ni wanachama?. Kasome hukumu vizuri. Kamati Ina mamlaka ya kuwavua uanachama. Issue mahakama inachopinga ni wajumbe wa Kamati kuu kuwa sehemu ya maamuzi ya baraza kuu.
 
Sasa walikata rufaa ya Nini Kama bado ni wanachama?. Kasome hukumu vizuri. Kamati Ina mamlaka ya kuwavua uanachama. Issue mahakama inachopinga ni wajumbe wa Kamati kuu kuwa sehemu ya maamuzi ya baraza kuu.
Usiwe na haraka
 
Huu ndio ukweli kwa mujibu wa hukumu ya mahakama, imeridhia kilichofanywa na ile CC ya Chadema kuwatimua, hivyo baada ya hukumu hii, inapaswa kina Mdee kuvuliwa ubunge kusubiria rufaa zao Baraza Kuu, ila hili halitafanyika kwasababu mahakama haijawatendea haki!. Dr. Tulia ni mtu wa haki bin haki, wataendelea na ubunge wao!, kama nilivyosema hapa CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
P

Umeelewa ulichoandika?. Yani mahakama haitendi haki kisa tu imekubaliana na Kamati kuu ya chadema.
 
CHADEMA imepigwa Technical Knockout na Halima Mdee Team!
 
Kinachofurahisha na wengi hawajui... Ni kosa miaka mitano hii hapa, wanaendelea kula mishahara na posho kama kawaida.. hiyo inavutwa vutwa mpka 2025 kesi imeisha wanarudi upya kupambana au kuhama chama kabisa.. lengo mkono ufike kinywani
 
Naona wengi bado tuko gizani nini hasa mahakama imeamua. Inaonesha mahakama imemumunya maneno tu. Ilitakiwa iseme bila kupepesa
1. Hawa wabunge bado ni wanachadema au wametimuliwa?
2. Uhalali wao wa kuwa bungeni ni sawa au la?
3. Spika achukue hatua yoyote au la
 
Back
Top Bottom