Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kwa akili yako ndogo unadhani pesa zinazopigwa kiharam ni za Chadema.CHADEMA imepigwa Technical Knockout na Halima Mdee Team!
Hii ndio poor thinking capacity ya Watanzania wengi.
Halima Mdee na wahuni wenzake 19 ni wahujumu uchumi.