Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajji Manara1. Lisu
2. Mbowe
3. Boniface Jacob
4.
Ongezea na wewe
HufaiSalary slip
Hata kabudi alipewa ububge ilihali iyo sehemu hajawah kukaa hata miaka 5 tu kipindi profesaKwa nini mtu ambaye siyo mkazi awakilishe wananchi wakazi eneo hilo?
Fikra duni za kutawaliwa (utumwa, ukoloni) zilijengeka hapa.
Mgeni atakuwakilisha vipi?
Akili za uchawa, udalali, upambe bila kuangalia mambo ya msingi ni hatari sana kwa mustakabali wa jamii na taifa kwa ujumla.
Muuaji hapanaMakonda
why? You might be correct! give reasonsCHADEMA wasishiriki huo uchaguzi.
Kwani Samia ni wa Tanganyika? Mbona anawatesa kishenzi na mmeufyata!Kwa nini mtu ambaye siyo mkazi awakilishe wananchi wakazi eneo hilo?
Fikra duni za kutawaliwa (utumwa, ukoloni) zilijengeka hapa.
Mgeni atakuwakilisha vipi?
Akili za uchawa, udalali, upambe bila kuangalia mambo ya msingi ni hatari sana kwa mustakabali wa jamii na taifa kwa ujumla.
1. Lisu
2. Mbowe
3. Boniface Jacob
4.
Ongezea na wewe
nasema chadema, huyo ni wa kwenu "mhuni" kama weweHajji Manara
Samia ni Rais wa Tanzania, siyo wa Tanganyika.Kwani Samia ni wa Tanganyika? Mbona anawatesa kishenzi na mmeufyata!
Uko sahihi anasaidiwa na polisi wa tanganyika! Mapolisi yanajisahahu kuwa watoto wao kesho hawatakuwa na pa kukaa!Samia ni Rais wa Tanzania, siyo wa Tanganyika.
Samia hawezi kuwatesa watanganyika bila kusaidiwa na wenyewe.
HIVI UBUNGE SI UNAGOMBEA ULIKOJENGA AU KUZALIWA? AU SIJAELEWA?1. Lisu
2. Mbowe
3. Boniface Jacob
4.
Ongezea na wewe