Pre GE2025 Ubunge wa Kigamboni: Chadema napendekeza hawa wapendekezwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Samia ni Mtanganyika? wewe vipi?
 
Pagumu sana pale Mzee mwenzangu huyo jamaa alikuwa ni MD wa BOT mahali fulani alafu ni ofsa kipenyo utateseka sana ndugu yangu 😁😁😁
Sasa huyo ndo Bamkwe naemhitaji huenda napambana usiku na mchana kumbe riziki yangu ipo kwenye "Mjini msingi kiuno" kama kitenge
 
Uko sahihi anasaidiwa na polisi wa tanganyika! Mapolisi yanajisahahu kuwa watoto wao kesho hawatakuwa na pa kukaa!
Kiongo
Samia ni Mtanganyika? wewe vipi?
Sijaandika Samia ni mtanganyika.
Pili, baadhi ya matanganyika yanafanya ujinga wao , analaumiwa.
Urais ni taasisi na katika hiyo zaidi ya 90% ni watanganyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…