Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Kiukweli ni muhimu sana Watanzania kuijua katiba, sheria na haki.1. Lisu
2. Mbowe
3. Boniface Jacob
4.
Ongezea na wewe
AUGUST MPAKA NIVEMBA NI ZAIDI YA 12 MONTHS AU NAKOSEAKiukweli ni muhimu sana Watanzania kuijua katiba, sheria na haki.
Hakuna uchaguzi wowote less than 12 months kabla ya kuvunjwa kwa Bunge!.
P
Samia ni Mtanganyika? wewe vipi?Kwa nini mtu ambaye siyo mkazi awakilishe wananchi wakazi eneo hilo?
Fikra duni za kutawaliwa (utumwa, ukoloni) zilijengeka hapa.
Mgeni atakuwakilisha vipi?
Akili za uchawa, udalali, upambe bila kuangalia mambo ya msingi ni hatari sana kwa mustakabali wa jamii na taifa kwa ujumla.
makonda ni muuaji!Makonda
Akili huna1. Lisu
2. Mbowe
3. Boniface Jacob
4.
Ongezea na wewe
Kuna jamaa yangu kule anachukua kaoa mtoto wa Brother wangu na Jamaa alichukua mpaka fomu ya kuwania Uspika ili kutengeneza msingi.
Hivi Kwa bro pale wadada wameisha?Kuna jamaa yangu kule anachukua kaoa mtoto wa Brother wangu na Jamaa alichukua mpaka fomu ya kuwania Uspika ili kutengeneza msingi.
Uraisi ni jambo la muungano h8na akili weweSamia ni Mtanganyika? wewe vipi?
Wewe hapo1. Lisu
2. Mbowe
3. Boniface Jacob
4.
Ongezea na wewe
wewe rafiki, mimi sifai kwa hayo. sina sifaWewe hapo
Kazaliwa hapo ni mzawaHata kabudi alipewa ububge ilihali iyo sehemu hajawah kukaa hata miaka 5 tu kipindi profesa
Sasa huyo ndo Bamkwe naemhitaji huenda napambana usiku na mchana kumbe riziki yangu ipo kwenye "Mjini msingi kiuno" kama kitengePagumu sana pale Mzee mwenzangu huyo jamaa alikuwa ni MD wa BOT mahali fulani alafu ni ofsa kipenyo utateseka sana ndugu yangu πππ
KiongoUko sahihi anasaidiwa na polisi wa tanganyika! Mapolisi yanajisahahu kuwa watoto wao kesho hawatakuwa na pa kukaa!
Sijaandika Samia ni mtanganyika.Samia ni Mtanganyika? wewe vipi?
Kuna majangili ya mali za umma yanamsaidia kututesa aseeSamia ni Rais wa Tanzania, siyo wa Tanganyika.
Samia hawezi kuwatesa watanganyika bila kusaidiwa na wenyewe.