Nashukuru kwa kuliona hili. Makazi ya watu walibomolewa bila hata fidia. Nililazimika kupokea familia mbili nyumbani kwangu tukaishi zaidi ya miezi sita huku Kibaha. Walibomolewa kibabe sana na hasara kubwa walipata. Alafu manina mtu anasema anataka kura yako. yaani ili kuondoa fedheha pigeni hata mishale hao sisiemu. Manina zao, yaani kitila anataka kuletamatako yake hapo ubungo yawasaidie nini?
Angalia hata jengo lililokuwa linatumiwana Tanesco hapo ubungo, lilibomolewa kwa uonevu tu hata barabara yenyewe haijafika hata kidogo hata kugusa eneo tu haijafika.