Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakuunga mkono kamanda. Kilichobakia ni kwenda front tu.Mpaka tarehe ya uchaguzi watakuwa wameisha wote
View attachment 1551723
Kwanini haelezi mapungufu analialia?Mpaka tarehe ya uchaguzi watakuwa wameisha wote
View attachment 1551723
Naamini kaenguliwa kwa mijibu wa sheria za uchaguzi za Nchi ,sheria hii nadhani imekuwepo tangu 1985, pia Lisu kaitumia kumwekea pingamizi Komrade JPM na wagombea wengine. Hapa JPM anahusikaje?!Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?
Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
Hiyo sheria inaengua wapinzani tu? Mkuu acha kutema utopolo.Naamini kaenguliwa kwa mijibu wa sheria za uchaguzi za Nchi ,sheria hii nadhani imekuwepo tangu 1985, pia Lisu kaitumia kumwekea pingamizi Komrade JPM na wagombea wengine. Hapa JPM anahusikaje?!
Kwa hiyo ndio mnalipiza kisa mliwekewa pingamizi, huu ujinga wenu unatia kinyaa.Sema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Naamini kaenguliwa kwa mijibu wa sheria za uchaguzi za Nchi ,sheria hii nadhani imekuwepo tangu 1985, pia Lisu kaitumia kumwekea pingamizi Komrade JPM na wagombea wengine. Hapa JPM anahusikaje?!
Wanakosea wapinzani tu? Hizo fomu zina lugha ya ki-CCM?Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.W
Nani analipiza kisasi? Tatizo walichukua form kabla hata ya wana CCM huo muda walitakiwa watumie kuwasumbua wakurugenzi kuhakiki form kama kila kitu kipo OK.Yaani safari hii Tume wapo macho kosa dogo tu linakuengua. Enzi za JK waliyemwita dhaifu zilishapita.Kwa hiyo ndio mnalipiza kisa mliwekewa pingamizi, huu ujinga wenu unatia kinyaa.