Haina shida tutalaumu ukoloniNi aibu.... wakati wenzetu wako busy kutafuta maji kwenye sayari za mbali, sisi bado hata kujihudumia maji wenyewe hatuwezi
Naamini yuko Dar badoAWESO Yupo Wapi?
Anauza ManenoNaamini yuko Dar bado
Kaeni hivyo hivyo....mkiendelea kulalamika mi simo.Hakuna maji Ubungo riverside maeneo yote kuanzia daraja la Kijazi mkono wa kushoto .. no mambo ya AIBU sana Hakuna taarifa yoyote watu tunaishi kama tuko dunia ya miaka ya 40tatizo ninini..
Bili za maji wasomaji hawazingatii wanapita na kubambika mamba ambazo sio sahihi. DAWASA, DAWASA. Wizara ya Maji
Soma Pia: Kero ya maji Dar es Salaam - Watangaze kama kuna mgawo wa maji
AWESO Yupo Wapi?
Ni aibu.... wakati wenzetu wako busy kutafuta maji kwenye sayari za mbali, sisi bado hata kujihudumia maji wenyewe hatuwezi