Hakuna maji Ubungo riverside maeneo yote kuanzia daraja la Kijazi mkono wa kushoto .. no mambo ya AIBU sana Hakuna taarifa yoyote watu tunaishi kama tuko dunia ya miaka ya 40tatizo ninini..
Bili za maji wasomaji hawazingatii wanapita na kubambika mamba ambazo sio sahihi. DAWASA, DAWASA. Wizara ya Maji
Soma Pia: Kero ya maji Dar es Salaam - Watangaze kama kuna mgawo wa maji
Bili za maji wasomaji hawazingatii wanapita na kubambika mamba ambazo sio sahihi. DAWASA, DAWASA. Wizara ya Maji
Soma Pia: Kero ya maji Dar es Salaam - Watangaze kama kuna mgawo wa maji