Ubungo: Wanawake 36 wanaodai kukamatwa na kudhalilishwa kuwa "Dada Poa" kumfikisha mahakamani DC Hassan Bomboko na kumdai Fidia ya Tsh. Bilioni 36!

Kwani nikiwa mteja na nikanunua hizo K nitakuwa nimefanya kosa gani la jinai na la kikatiba?
Hamna kosa utakuwa umefanya zaidi ya kuongezea mikosi uliyo nayo, baade uanze kulilia watu huna ajira, kumbe ni mikosi unayookota kwenye mashimo yaliyojaa laana
 
Wazinzi wote na washerati wote lazima wawasuppport wazinzi wenzao humu!! Hii nchi ngumu sana! Mafisadi na wala rushwa wanateteana na wanzinzi nao wanateteana humu sijui tukimbilie wapi!
kwa mujibu wa sheria za nchi uzinzi maana yake ni nn? sheria ya nchi inaruhusu kufanya ngono na mwanamke asiye mke wako alimradi mmelidhiana sasa utasemaje mtu anajiuza?
 
Ni Mtoto kiongozi mpuuzi ambaye sijawahi kumshuhudia toka nchi hii ipate uhuru.Huyu anakiangamiza chama cha mapinduzi mchana kweupeee.
 
⚖️Justice for Asimwe & fellow victims#
 

⚖️Justice for Asimwe & fellow victims#
 
⚖️Justice for Asimwe & fellow victims#
 

👍👌👏🎯

⚖️Justice for Asimwe & fellow victims#
 
1. Hili linasikitisha sana: utamwitaje mtu dada poa? Je unatumia vigezo gani kuwabatiza watu sifa hii? Je hili linaongeza thamani kiutendaji na kisiasa? Je bila kuangalia chimbuko la tatizo lenyewe inawezekana kupatikana suluhisho endelevu la jambo hili? Tuna uchafu mwingi tu na maovu mengine ambayo yanadidimisha maendeleo ya nchi je kwa nini tusianze na haya? Could this be driven by populism? Tatizo lilipo since biblical era walishindwa (rejea Sodom and Gomorrah) walishindwa kulimaliza? Tunalimalizaje? Hii ni changamoto ya kijamii tuitazame kwa mawani hayo ili kuweza kuona vizuri na kujua namna ya kulikabili tatizo. Tatizo hili ni kubwa sana hasa katika zama hizi za kijitali! Ni vita ngumu kupigana zaidi ya ile ya nuclear!.

Tufanyaje: Tubambane kujenga uchumi ili watu wengi watoke kwenye wimbi la umaskini. Tuendelee kutoa elimu bila kutumia mabavu hii italeta tija. Tujitahidi kuwa "gender sensitive" tuache ubaguzi "Dada poa" kama kuna dada poa pia wapo kina: "kaka poa". Tujitahidi sana kuelewa chimbuko la jambo hii itasaidia kutupa mwanga.
 
DC awape utaratibu waanze kulipa Kodi tu....
Dar hakuna nyapu ya bure, hiki ni chanzo cha mapato
 
DC awape utaratibu waanze kulipa Kodi tu....
Dar hakuna nyapu ya bure, hiki ni chanzo cha mapato
Could be a possible and long lasting solution to commercial sex work but in our context it will raise a lot of moral questions! Hili halihitaji kamatakamata bali mjadala wa wazi ili kupata suluhisho ya kudumu!
 
Safi sana wakifanya hivi maana sasa wataanza kutumia akili zao, waache haya ya kuambiwa. Katoka ukerewe,hakujua ya mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…