Waliwe tuAu labda wanataka waliwe wao.
Walipwe Billion 36 waache kujiuzaInaweza ikawa inawahusu, lakini hawawezi kutokomeza biashara ya kunjunjana.
Serikali inachotakiwa kufanya ni kuimarisha uchumi, ajira ziongezeke na mambo kama hayo ili kuondoa sababu ya msingi ya kujiuza ambayo ni kujipatia kipato.
Sana, yaani tumependeza munovipi baada ya wao kufukuzwa kazi maisha yaki na Ndugu zako yamebadilika jwa kiasi gani?
Ubungo kuna maeneo machafu sana,Wanawake 36 wa Ubungo waliokamatwa na Mkuu wa wilaya hiyo wakidaiwa Kuwa ni makahaba na kuwekwa lupango siku 5 sasa watamfikisha mahakamani Mkuu huyo wa Wilaya
Wakili Madeleka amesema Wateja wake 36 watamdai Mkuu wa Wilaya ya Ubungo fidia ya TSH 36 billion Kwa kuwadhalilisha
Ameandika Wakili Msomi Madeleka ukurasani X
Hii June ina mambo Sana 😂
Kitaalamu inaitwa class action suit. 36 of them, ila kesi kama hizi wakili ndo huwa anawaita wahusika anapiga kitu inaitwa PRO BORNO, kesi ya hivo akishinda wakili anatoka na mkwanja kinoma. Na ni ile gender inayosikilizwa sana mahakaman, DC kuchomoa hii ni ngumu sanaWanawake 36 wa Ubungo waliokamatwa na Mkuu wa wilaya hiyo wakidaiwa Kuwa ni makahaba na kuwekwa lupango siku 5 sasa watamfikisha mahakamani Mkuu huyo wa Wilaya
Wakili Madeleka amesema Wateja wake 36 watamdai Mkuu wa Wilaya ya Ubungo fidia ya TSH 36 billion Kwa kuwadhalilisha
Ameandika Wakili Msomi Madeleka ukurasani X
Hii June ina mambo Sana 😂
Well saidInaweza ikawa inawahusu, lakini hawawezi kutokomeza biashara ya kunjunjana.
Serikali inachotakiwa kufanya ni kuimarisha uchumi, ajira ziongezeke na mambo kama hayo ili kuondoa sababu ya msingi ya kujiuza ambayo ni kujipatia kipato.
Dawa ni kuwatengenezea mazingira mazuri ya kufanyia biashara kwa biashara halali pamoja na kuwakopesha mitajiToa mfano wa nani au serikali gani humu duniani iliwahi kufanikiwa kutokomeza umalaya kama alivyofanya huyo masifa?
Mtu unamtoa huko UVCCM amezoea kupiga mizinga ghafla anakuwa DC, lazima achanganyikiwe na bahati mbaya nchi hii hata vetting haipoBaba wa taifa HAYATI J.k. Nyerere aliwai kulitolea ufafanuzi hili swala miaka ya nyuma huyo Dc sijui hajisomei hata humu JF Inashangaza Sana na kustaabisha kwa wateule wa RAISI baadhi wanakua too naive...
Wanaanzaga kama iyo billion 36 ili hata ikishushwa waambulie hata laki laki. Kuliko tuseme waanze na billion 1 wataambulia buku buku. Hata kabudi kwenye makinikia alianza na dau kubwa.Wanaweza kuiandika bilioni 36 Kwa tarakimu 🚮🚮.
eti Figo,umenichekesha.Si wanauza za kwao mkuu?? Watu wanauza figo sembuse nyapu!!
Shida ya kutanguliza makada makopo kwenye teuzi. Tuna mijitu mijinga sana kwenye hiki.kisiwa cha amani.Kwanza wahanga wale walikuwa maeneo yao ya Makazi na kuvamiwa na kudhalilishwa hii haijakaa SAWA!! Kisa mtu mmoja ajipatie sifa!! Hii haikubaliki mbele ya Taifa lenye utawala Bora na sheria
Laws of supply and demand applies wasio na wake wafanyaje wapige nyeto?ni sawa kuuza nyapu ?
Hebu nenda kajiuze utatuliwe marinda halafu ujitetee kuwa unatumia kiungo chako kujiingizia kipatoHakuna lengo hapo zaidi ya kutafuta sifa za kuteuliwa. Kuna shida ngapi za msingi za kushughulika nazo? Kwanza ni sheria ipi inazuia mtu kutumia viungo vyake kupata kipato? Nisaidie kifungu ndugu yangu.
Wanauza nyapu yako?ni sawa kuuza nyapu ?
Uwe upande wa Dada Poa au DC?😂Nafikiria kama naweza kuunganishwa kwenye hiyo kesi. DC kazingua
Sasa hata akiiuza si yake?ni sawa kuuza nyapu ?
Upande wa kina dada,utashitakiwa kuwaita dada poaUwe upande wa Dada Poa au DC?😂