Ubungo: Wanawake 36 wanaodai kukamatwa na kudhalilishwa kuwa "Dada Poa" kumfikisha mahakamani DC Hassan Bomboko na kumdai Fidia ya Tsh. Bilioni 36!

Ni vigumu sana kuthibitisha kwamba Umalaya/Ukahaba ulifanyika ikiwa washtakiwa, Ke /Me, wakigoma kutoa ushirikiano.

Huwezi kumkamata mtu barabarani hata kama ni usiku mrefu kwa kosa la ukahaba au hata wizi bila kuthibitisha. Hichi kitendo kinakinzana na Katiba ya JMT, kwamba kila mtu Ana haki ya kwenda popote nchini ili mradi tu asivunje sheria 🤔
 
Huyo mkuu wa wiwalaya hana shughuli nyingine za kufanya mpaka azunguke usiku kutafuta watu wanao jiuza? Hivi hakuna kero za maana za kutatua?
 
Huyu DC amejitakia mwenyewe kabisa!
 
Kwanza wahanga wale walikuwa maeneo yao ya Makazi na kuvamiwa na kudhalilishwa hii haijakaa SAWA!! Kisa mtu mmoja ajipatie sifa!! Hii haikubaliki mbele ya Taifa lenye utawala Bora na sheria
Tena wengine wengi aliwafata guest house kabisa sasa huyu Mkuu wa wilaya kweli ni mzima? Alikuwa anafikiri nini?
 
Wazinzi wote na washerati wote lazima wawasuppport wazinzi wenzao humu!! Hii nchi ngumu sana! Mafisadi na wala rushwa wanateteana na wanzinzi nao wanateteana humu sijui tukimbilie wapi!
Swala hapa ni kufata sheria ! Wamevunja sheria gani?
 
Unaenda vunja mlango asee sijui hata wale wamiliki wa lounge walimruhusu vpi huyu muhuni kwenda kuamsha watu waliolala ni ujinga mkuu wa wilaya amedhihirisha kiasi gani tunaongozwa na wajinga
Yani hii ni aibu sana sana
 
Ila Wabongo ni wanafikii, kwenye suala la mashoga wanapinga vikali na kulaani, ila kuhusu madada poa wako winja winja kutetea.

Mnasema wamekamatwa kimakosa pasipo ushahidi, mbona kina Noel na Denis walikamtwa bila uthibitisho? Kisa tyuu mwakyembe na cathe kuwataja?

Na DC ameenda maeneo hayo akijua dada poa ndo chimbo lao. Kawakamataa hao wadada, mnaanza kupovukwa na kutetea, mara oooh wanatumia miili yao na uhuru ni wao, kwan mashoga wanatumia miili yenu? Au huo uhuru wao hawanaa.

Nasemajeee DC kamataa makahaba, dada poa na wateja wao runda ndanii woteee.

Mxxxxxxxxiiiiiiiieeeeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo hela sa mbona inapoteza maana si wadai hela inayolipika.
Mahakama ndio itahamua kulingana na madhara ni kiasi gani anastahili kulipa!
Kwa hiyo waliopata madhara wanaona hIcho kiasi wanastahahili na Mahakama yenyewe itapima ni kiasi gani wanastahili kulingana na madhara na uwezo wa mtuhumiwa!
 
Kashitakiwa kwa jina lake
 
hilo Libomoka ni lipumbavu acha walisokokote
 
Huyo mkuu wa wiwalaya hana shughuli nyingine za kufanya mpaka azunguke usiku kutafuta watu wanao jiuza? Hivi hakuna kero za maana za kutatua?
Umesoma nilichoandika ?! Au na wewe ni mteja wa hao sewage system wa jiji la Dsm waliokamatwa?
 
Ngoja tuone hii 'movie' mpya itaishaje.
 
Umesoma nilichoandika ?! Au na wewe ni mteja wa hao sewage system wa jiji la Dsm waliokamatwa?
Kwani nikiwa mteja na nikanunua hizo K nitakuwa nimefanya kosa gani la jinai na la kikatiba?
 

Mashoga hamtakamatwa, nyie ni kuwakata masikio tu kama nilivyoona video ya yule Sijui Mau nani wa Zanzibar. Nyie tunawakata masikio tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…