Bamia ni mojawapo ya vyakula bora vya kupambana na kisukari, vinavyojulikana kwa sifa zake za hypoglycemic (kupunguza sukari kwenye damu). Pia husaidia kurekebisha viwango vya cholesterol, kuzuia lipids juu ya damu
Ukiachana na matunda, na kama huwezi kupika hivi basi usiviache ukivikuta mahali.. Ni milo kamili na iliyozingatia mahitaji ya unene kwa kiwango chake.. Huwezi kunenepa tumbo ukila hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.