UBUNIFU MPYA KUTOKA KWA WANAUME

UBUNIFU MPYA KUTOKA KWA WANAUME

Jitu jeusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
1,715
Reaction score
2,385
HATA USIPANIKI mwanaume mwenzangu, ukimwita msichana kwa ajili ya mtoko akaja na rafiki zake ili akukomeshe....
Wewe wajali sana wale rafiki zake.... piga nao story, waonyeshe picha zako kadha wa kadha... washirikishe masuala yako ya kiofisi... wape namba zako zote za simu hadi ile ya mezani.....
Muda wa kuondoka wapatie nauli ya kutosha kisha waelekeze unapoishi wewe na ikibidi hata wanapoishi wazazi wako......

[HASHTAG]#Myfriend[/HASHTAG]! next time ukimuita ataogopa hata kuja na MKOBA WAKE atahisi utaujali wenyewe zaidi yake.... yaani atakuja kama alivyo!!!!

Sent from my Iphone 7 using Jamiiforums mobile app
 
HATA USIPANIKI mwanaume mwenzangu, ukimwita msichana kwa ajili ya mtoko akaja na rafiki zake ili akukomeshe....
Wewe wajali sana wale rafiki zake.... piga nao story, waonyeshe picha zako kadha wa kadha... washirikishe masuala yako ya kiofisi... wape namba zako zote za simu hadi ile ya mezani.....
Muda wa kuondoka wapatie nauli ya kutosha kisha waelekeze unapoishi wewe na ikibidi hata wanapoishi wazazi wako......

[HASHTAG]#Myfriend[/HASHTAG]! next time ukimuita ataogopa hata kuja na MKOBA WAKE atahisi utaujali wenyewe zaidi yake.... yaani atakuja kama alivyo!!!!

Sent from my Iphone 7 using Jamiiforums mobile app
Kesho yake atakujia na wengi zaidi
 
HATA USIPANIKI mwanaume mwenzangu, ukimwita msichana kwa ajili ya mtoko akaja na rafiki zake ili akukomeshe....
Wewe wajali sana wale rafiki zake.... piga nao story, waonyeshe picha zako kadha wa kadha... washirikishe masuala yako ya kiofisi... wape namba zako zote za simu hadi ile ya mezani.....
Muda wa kuondoka wapatie nauli ya kutosha kisha waelekeze unapoishi wewe na ikibidi hata wanapoishi wazazi wako......

[HASHTAG]#Myfriend[/HASHTAG]! next time ukimuita ataogopa hata kuja na MKOBA WAKE atahisi utaujali wenyewe zaidi yake.... yaani atakuja kama alivyo!!!!

Sent from my Iphone 7 using Jamiiforums mobile app
WEWE NI JITUU
 
Aisee hii kiboko

ATAOGOPA HATA KUJA NA MKOBA WAKE

wa dada mpoooo?
 
HATA USIPANIKI mwanaume mwenzangu, ukimwita msichana kwa ajili ya mtoko akaja na rafiki zake ili akukomeshe....
Wewe wajali sana wale rafiki zake.... piga nao story, waonyeshe picha zako kadha wa kadha... washirikishe masuala yako ya kiofisi... wape namba zako zote za simu hadi ile ya mezani.....
Muda wa kuondoka wapatie nauli ya kutosha kisha waelekeze unapoishi wewe na ikibidi hata wanapoishi wazazi wako......

[HASHTAG]#Myfriend[/HASHTAG]! next time ukimuita ataogopa hata kuja na MKOBA WAKE atahisi utaujali wenyewe zaidi yake.... yaani atakuja kama alivyo!!!!

Sent from my Iphone 7 using Jamiiforums mobile app
Well noted
 
Back
Top Bottom