Ubunifu unaiua Sahara Media Group

Ubunifu unaiua Sahara Media Group

Katika zama hizi za MEDIA CONVERGENCE mainstream media aka VYOMBO VYA HABARI VYA UTANGAZAJI PENDWA yaani Redio na Television vikishindwa kuendana na haya mabadiliko upo uwezekano wa kupotea na kushindwa kujiendesha kabisa.

Ni muhimu media owners wafahamu kwamba kuna change ya paradigms za namna hadhira inavyokula maudhui.

Mtindo wa sasa ni wa ushindani na uuzaji wa maudhui yenye ubora wa hali ya juu mfano wa NETFLIX, BOOMPLAY, SPOTIFY, MILLARD AYO nk

Pia new media inaenda na mtindo wa kileo wa kuwafuata audience waliko.

Pia wanahitaji content ya maana mfano football, na other premiere shows.

Shangaa kwamba redio za FM kubwa Bongo kwenye radio garden tu humo, hawamo!!

Kingine ni UBORA UBORA UBORA, Kukosa ubora ni tatizo kubwa kwa majority ya broadcast media za Tanzania both radio na TV.

AZAM MEDIA imekuja kuonyesha tofauti ya namna UBORA unavyohitajiwa sokoni; pia, MULTICHOICE pamoja na gharama zao kuwa kubwa bado wanaandamiwa. ZAMA za kutazama Picha zilizofubaa zilishapitwa.

MEDIA OWNERS Wabadilike; wakubaliane na nini soko la sasa linataka.

BROADCAST CONTENT kibongobongo HAINOGI sababu kubwa ni UBORA na kushindwa kuwafikia Hadhira waliko yaani kwenye mtandao wa intaneti.

UBORA na KWENDA NA MABADILIKO yaliyopo sokoni.
Nakazia. UBORA ni tatizo sugu kwa radio na tv hasa tv hapa Tz. Miaka inavyozidi kwenda na ubora unapungua.
Wangekuwa makini katika kuandaa maudhui wasingekosa matangazo na sponsors walio tayari kutoa pesa nyingi sana.
 
Wapwa, kuna taarifa inasambaa kuhusu mgomo wa wafanyakazi Sahara Media Group, kwamba hawajalipwa mishahara miezi mitatu sasa sababu kampuni haina hela.

Mi huwa nawaza Sahara ni media kubwa na ni kongwe sana ila program zake ni local, kitu ambacho hakiwavutii wanamatangazo. Quality ya vipindi iko chini. Program manager hana budi kuamka, media itakufa.
Itakufa? Au ishakufa!
 
Sahara media ubunifu siku hizi ni zero, wamenasa na vipindi vilevile huku miaka imeenda. Kipindi hicho marehemu Fredwaa aliinogesha asubuhi vilivyo na sindano tano za moto, ukija usiku kipindi cha michezo na muziki wa DRC. Unakuja jumapili usiku vikota kutoka Mumbai huko. Ila sasa nyakati zimebadilika na mambo yamebadilika pia. Kwa startv content zao ni zilezile hadi leo na hazina ubunifu wowote ule ila wanafanya kimazoea tuu. Ukiangalia baadhi ya vipindi kama vile futuhi na wale akina mkombe wako vilevile hawachekeshi tena sababu ya kukosa ubunifu. Mimi nilishaacha kuitizama startv aisee
 
Sahara media ubunifu siku hizi ni zero, wamenasa na vipindi vilevile huku miaka imeenda. Kipindi hicho marehemu Fredwaa aliinogesha asubuhi vilivyo na sindano tano za moto, ukija usiku kipindi cha michezo na muziki wa DRC. Unakuja jumapili usiku vikota kutoka Mumbai huko. Ila sasa nyakati zimebadilika na mambo yamebadilika pia. Kwa startv content zao ni zilezile hadi leo na hazina ubunifu wowote ule ila wanafanya kimazoea tuu. Ukiangalia baadhi ya vipindi kama vile futuhi na wale akina mkombe wako vilevile hawachekeshi tena sababu ya kukosa ubunifu. Mimi nilishaacha kuitizama startv aisee
Anthony diallo bora angeiuza hii redio sema wasiwasi wangu sijui km ccm watamkubalia
 
Wapwa, kuna taarifa inasambaa kuhusu mgomo wa wafanyakazi Sahara Media Group, kwamba hawajalipwa mishahara miezi mitatu sasa sababu kampuni haina hela.

Mi huwa nawaza Sahara ni media kubwa na ni kongwe sana ila program zake ni local, kitu ambacho hakiwavutii wanamatangazo. Quality ya vipindi iko chini. Program manager hana budi kuamka, media itakufa.
Ukongwe hausaidii kama hutoendana na mabadiliko
 
Sahara media ubunifu siku hizi ni zero, wamenasa na vipindi vilevile huku miaka imeenda. Kipindi hicho marehemu Fredwaa aliinogesha asubuhi vilivyo na sindano tano za moto, ukija usiku kipindi cha michezo na muziki wa DRC. Unakuja jumapili usiku vikota kutoka Mumbai huko. Ila sasa nyakati zimebadilika na mambo yamebadilika pia. Kwa startv content zao ni zilezile hadi leo na hazina ubunifu wowote ule ila wanafanya kimazoea tuu. Ukiangalia baadhi ya vipindi kama vile futuhi na wale akina mkombe wako vilevile hawachekeshi tena sababu ya kukosa ubunifu. Mimi nilishaacha kuitizama startv aisee
Baba kwenye sindano za moto na Fred waa na kile kipindi cha hakuna kulala na beat ya juma nature 😂😂
 
Biashara ya utangazaji ilishapitwa na wakati sana. Tanzania bado biashara inasurvive kwa mbinde mbinde kwa sababu wenye media hizo wanatumia mbinu nyingine kijipatia kipato, siyo utangazaji tu. Halafu nchi yenyewe isiyokuwa na biashara nyingi ya utangazaji lakini ina wingi wa vituo vya redio na TV unadhani matangazo hayo ya kutosheleza vituo vyote yatatoka wapi.
 
Nakazia. UBORA ni tatizo sugu kwa radio na tv hasa tv hapa Tz. Miaka inavyozidi kwenda na ubora unapungua.
Wangekuwa makini katika kuandaa maudhui wasingekosa matangazo na sponsors walio tayari kutoa pesa nyingi sana.
Kweli kabisa na haipingiki! Kwanza Sahara media ndio ingekuwa inakimbiza Tanzania nzima lakini sasa ndio hivo unasikia hata hela haina.
 
Biashara ya utangazaji ilishakupitwa na wakati sana. Tanzania bado biashara insurvive kwa mbinde mbinde kwa sababu wenye media hizo wanatumia mbinu nyingine kijipatia kipato, siyo utangazaji tu. Halafu nchi yenyewe isiyokuwa na biashara nyingi ya utangazaji lakini in wingi wa vituo vya redio na TV unadhani matangazao hayo yatatoka wapi.
Media inafaida kubwa sana ila wenye media hawana maono.
 
Back
Top Bottom