Ubunifu wa kutumia mapipa

Ubunifu wa kutumia mapipa

Yaani kuna forum ukiingia unakuta mshana mshana mshana. Kule ujenzi pamechafuka. Unaamua tu utoke hukuti mada😂😂😂.
Mara ujenzi kutumia mbao, mara makopo, kule chuma. Mara ubunifu kujenga kutumia mende. Yaani hukuti jingine na anapost kila sekunde. Akidownload katuma. Mzee kausha basi. Tumekubali acha thread itembee😂😂😂😂
 
FB_IMG_1740596666410.jpg
 
Yaani kuna forum ukiingia unakuta mshana mshana mshana. Kule ujenzi pamechafuka. Unaamua tu utoke hukuti mada😂😂😂.
Mara ujenzi kutumia mbao, mara makopo, kule chuma. Mara ubunifu kujenga kutumia mende. Yaani hukuti jingine na anapost kila sekunde. Akidownload katuma. Mzee kausha basi. Tumekubali acha thread itembee😂😂😂😂
Yaani hukuti jingine na anapost kila sekunde. Akidownload katuma. Mzee kausha basi. Tumekubali acha thread itembe
Tangu jana leo ndio napost
 
Back
Top Bottom