njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Baada ya Mwijaku kulalamika kwamba Mo Dewji ana dharau hapokei simu zake na ya kwamba tajiri wa yanga Gharib huwa anamualika mara kwa mara pale salamander nili break news kwamba yupo kwenye negotiation ya kuhamia yanga kwa kupewa millions 60, gari kali pamoja na kupangiwa nyumba masaki
Wengi walidhani labda naongea pumba ila ukweli jamaa anahitajika sana kitengo cha habari yanga, kwa sasa hakuna wa kumtukana MO Dewji, albino keshachuja kwenye hilo na kuna uwezekano TFF wakamla kichwa
Ukiangali tu hint aliyotoa Mwijaku ni dhahiri atammudu Mo dewji kimatusi na dhihaka kwani hata baada ya interview ya BM3 alihoji KWA NINI KILA MTU AKULALAMIKIE WEWE?? yaani hapo akihoji tuhuma why ziwe nyingi kwa Barbara,huyu anafaa kuwa attack dog kwa msimu mpya
Jingine ni kufeli mapema kwa albino katika jukumu la msingi la yanga la kutunga majina ya utani makolo linalotumika likimaanisha makolokolo ya jezi ukifupisha kwa kiswahili fasaha ni mjomba sasa eti msimu huu amekuja na jina manyonyo ni bora wakae chini na mwijaku na General uto yule mhehe aliyetunga lile jina kali of all time la utopolo, wawekwe kambi hata verde hotel zanzibar wakitafuta jina kali la msimu huu la kuwatania simba
Itapendeza kama uhamisho wa mwijaku utaenda sambamba na wa diamond platnumz(anayetaka pesa nyingi ili ahamie yanga) wakitambulishwa tarehe 6 /08 pale uwanjani patanoga sana
Wengi walidhani labda naongea pumba ila ukweli jamaa anahitajika sana kitengo cha habari yanga, kwa sasa hakuna wa kumtukana MO Dewji, albino keshachuja kwenye hilo na kuna uwezekano TFF wakamla kichwa
Ukiangali tu hint aliyotoa Mwijaku ni dhahiri atammudu Mo dewji kimatusi na dhihaka kwani hata baada ya interview ya BM3 alihoji KWA NINI KILA MTU AKULALAMIKIE WEWE?? yaani hapo akihoji tuhuma why ziwe nyingi kwa Barbara,huyu anafaa kuwa attack dog kwa msimu mpya
Jingine ni kufeli mapema kwa albino katika jukumu la msingi la yanga la kutunga majina ya utani makolo linalotumika likimaanisha makolokolo ya jezi ukifupisha kwa kiswahili fasaha ni mjomba sasa eti msimu huu amekuja na jina manyonyo ni bora wakae chini na mwijaku na General uto yule mhehe aliyetunga lile jina kali of all time la utopolo, wawekwe kambi hata verde hotel zanzibar wakitafuta jina kali la msimu huu la kuwatania simba
Itapendeza kama uhamisho wa mwijaku utaenda sambamba na wa diamond platnumz(anayetaka pesa nyingi ili ahamie yanga) wakitambulishwa tarehe 6 /08 pale uwanjani patanoga sana