Ubunifu wa parking na sideways kwa kutumia tiles na pavements blocks

Ubunifu wa parking na sideways kwa kutumia tiles na pavements blocks

FB_IMG_1740159095301.jpg
 
Kazi Kazi,

Kizuri Chajiuza, Kibaya Chajitembeza
Nzuri Sana Kazi Hizo
 
Finishing = kabiri la hela...🙂
Sasa pata picha, unaishi pazuri, unalala pazuri halafu unakojoa pazuri...😋😋😋🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️.
 
Finishing = kabiri la hela...🙂
Sasa pata picha, unaishi pazuri, unalala pazuri halafu unakojoa pazuri...😋😋😋🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️.
Ewaaa kukojoa pazuri ndio yenyewewwe
 
Ukisikia finishing ni kaburi la pesa basi hapa ni eneo mojawapo
Hizo tiles na paving blocks zinauzwa kwa square meter
Kisha kuna gharama ya usafiri
Halafu kusawazisha na kusindilia vizuri eneo
Kuna gharama za zenge, rough cement au mchanga
Kuna ufundi
Kuna usafi wa kila siku.. Ama kweli kizuri gharamaView attachment 3244561
We nawe ushaishiwa contents unafosi tu
 
Nyoooo...acha kulinga isha punene na vitu vya hovyo

Aahahhahahaaa ile kitu ni balaa, ukikutana na mnato ndo mnasemaga unamwaga hadu ubongo...!!?😆😆😆😂😂😂😂😂.

Hilo neno la nyooo ulivyolitamka umefanya nimkumbuke mtu fudengewangu mmoja hivii, mkorofi mkorofii, anapenda mademuuu ila yuko makini sana, akiwa na nyege hilo neno halimkakuki, ukikosea ukampa punene hafqnyi makosa 😅😅😅
Atahakikisha utamsumbua utake mrudiano wa mechi aahahhahaha.

Najua atakuwa amenimisii sema anakaza roho, kiburi chake sio cha nchi hii....

Kupitia kwoti hii ya mzabkibamia, popote ulipo baba nyoooo aka msingapore, nimekumisooooooooo 😋.
 
Aahahhahahaaa ile kitu ni balaa, ukikutana na mnato ndo mnasemaga unamwaga hadu ubongo...!!?😆😆😆😂😂😂😂😂.

Hilo neno la nyooo ulivyolitamka umefanya nimkumbuke mtu fudengewangu mmoja hivii, mkorofi mkorofii, anapenda mademuuu ila yuko makini sana, akiwa na nyege hilo neno halimkakuki, ukikosea ukampa punene hafqnyi makosa 😅😅😅
Atahakikisha utamsumbua utake mrudiano wa mechi aahahhahaha.

Najua atakuwa amenimisii sema anakaza roho, kiburi chake sio cha nchi hii....

Kupitia kwoti hii ya mzabkibamia, popote ulipo baba nyoooo aka msingapore, nimekumisooooooooo 😋.
Kampe mbususu punene sio kitu ya kumnyima mwanaume bwana
 
Kampe mbususu punene sio kitu ya kumnyima mwanaume bwana

Tatizo ananikimbia sababu hataki kuzama mazima, sema tulikutana wote wakorofi na hatuna aibu kwenye kupimana nguvu. Aliniambia wewe nikijiachia kwako ntakiwa mlevi sana nikihisi muda haupo nami unakamuliwa na wengine, ukiniacha nikakosa vurugu zako ntakuwa mwehu, akakimbiza mbawa zake mapemaaa.

Ila aliniambiaga ni mtu ambaye nikiwa mbele yake hata kama tunaongea tuu maongezi ya kawaida inasimama, na akinionesha kuwa yuko wima nami sifanyi ajizi, wapi asali, wapi karanga naanza kurina asali...🤣🤣🤣🤣🤣
Tumepotezana ila siku ikitokea tukapatana tena, naamini kutawaka moto wa propane 😅😅.

Kuna video moja hivii ntaiweka kule vituko mitandaoni kisha ntakutagi.
Kila nikiiona nikimaliza kucheka nakumbuka kibamia...🤣🤣🤣🤣.
 
Back
Top Bottom