YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Kazi ya waziri wa Elimu ni kuwa Mbunifu Tanzania ilipata waziri wa elimu Profesa Juma Kapuya .
Aliposhika uwaziri ubunifu aliobuni ni wa kutaka shule zote za msingi na sekondari za Serikali watoto wa kike wawe wanavaa kiislamu kwa kuvaa vile vifunika uso na akaagiza walimu wakuu wasimamie hilo kuhakikisha kuwa kila msichana mwislamu avae hivyo.
Akajigeuza Ayatollah mtawala wa kiislamu wizara ya elimu mwenye kazi ya kusimamia mavazi ya wasichana wa kiislamu mashuleni
Huo ndio ukawa mwanzo wa uvaaji wa sare kwa wasichana wa kiislamu tunaouona leo shule za Serikali
Mtoto wa dada yangu mwanae alifaulu kidato cha tano kwenda shule ya sekondari ya wasichana Msalato Dodoma .Fomu ya kujiunga iliyokuja ilikuwa na sehemu ikieleza msichana kama ni muislamu aje na mavazi gani. Dada yangu akasema hivi hiyo ni shule au madrasa ya kiislamu hakumpeleka mtoto
Nauliza hivi hiyo shule ya Msalato bado hizo joining instruction ziko hivyo? Kuwa kazi ya mwalimu mkuu ni kusimamia uvaaji wa wasichana wa kiislamu?
Aliposhika uwaziri ubunifu aliobuni ni wa kutaka shule zote za msingi na sekondari za Serikali watoto wa kike wawe wanavaa kiislamu kwa kuvaa vile vifunika uso na akaagiza walimu wakuu wasimamie hilo kuhakikisha kuwa kila msichana mwislamu avae hivyo.
Akajigeuza Ayatollah mtawala wa kiislamu wizara ya elimu mwenye kazi ya kusimamia mavazi ya wasichana wa kiislamu mashuleni
Huo ndio ukawa mwanzo wa uvaaji wa sare kwa wasichana wa kiislamu tunaouona leo shule za Serikali
Mtoto wa dada yangu mwanae alifaulu kidato cha tano kwenda shule ya sekondari ya wasichana Msalato Dodoma .Fomu ya kujiunga iliyokuja ilikuwa na sehemu ikieleza msichana kama ni muislamu aje na mavazi gani. Dada yangu akasema hivi hiyo ni shule au madrasa ya kiislamu hakumpeleka mtoto
Nauliza hivi hiyo shule ya Msalato bado hizo joining instruction ziko hivyo? Kuwa kazi ya mwalimu mkuu ni kusimamia uvaaji wa wasichana wa kiislamu?